Nampenda Rais Samia siiungi mkono CCM na mambo yake

Nampenda Rais Samia siiungi mkono CCM na mambo yake

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Mimi nampenda Rais Samia kwa dhati yeye kama Rais ila mfumo uliomuweka hapo ambao ni ccm kwakweli sikubaliani nao. Naamini tuko wengi wa aina yangu ndio maana nitabaki kuwa mwana chadema mwaminifu ili nijitofautishe na itikadi na hulka za CCM. Mama Samia Mungu akubariki wewe ila mfumo wako audondoshe. Kwa maana ya ccm.
 
Mambo yanayofanya nisiiunge CCM mkono ni haya:

1. Ishu ya Tundu Lisu kushambuliwa.
2. Ishu ya Ben Rabiu Saanane kupotea.
3. Ishu ya kina Halima Mdee.
4. Kuvunja katiba waliyoapa kuilinda.
5. Utendaji wa polisi.

Nampenda Rais Samia kwa sababu ya RRRR! Na uvumilivu wa kisiasa.
 
Hapo ni sawa na kusema, namchukia Shetani lakini Satan sina tatizo naye.
 
Mimi nampenda Rais Samia kwa dhati yeye kama Rais ila mfumo uliomuweka hapo ambao ni ccm kwakweli sikubaliani nao. Naamini tuko wengi wa aina yangu ndio maana nitabaki kuwa mwana chadema mwaminifu ili nijitofautishe na itikadi na hulka za CCM. Mama Samia Mungu akubariki wewe ila mfumo wako audondoshe. Kwa maana ya ccm.
Kama Mimi,
 
Mimi nampenda Rais Samia kwa dhati yeye kama Rais ila mfumo uliomuweka hapo ambao ni ccm kwakweli sikubaliani nao. Naamini tuko wengi wa aina yangu ndio maana nitabaki kuwa mwana chadema mwaminifu ili nijitofautishe na itikadi na hulka za CCM. Mama Samia Mungu akubariki wewe ila mfumo wako audondoshe. Kwa maana ya ccm.
Simpendi sa100, ni dhaifu kwenye uongozi na hafai kabisa
 
Back
Top Bottom