Sioni kama hiyo inaweza kuwa shida, yeye ndio muamuzi, hata HS nae alikuwa na mawazo kama yangu mwisho wa siku akafanikisha, so acha nijaribu bahati inaweza kuwa kwangu piaNi mrembo kwakweli, alishakuwa Miss mwaka fulani.
Angalizo: Ni GF wa Hashim basketballer, alishakwenda naye hadi Marekani na kuishi nyumba moja.
Ila kila mtu na bahati yake, jaribu kaka maana sidhani kama ameshafanya maamuzi.
View attachment 32130
Wadau salam,
Kusema kweli bila kuuma maneno nimetokea kumpenda sana huyu binti ila sijui hata namna ya kukutana nae ili nimwambie kilichopo moyoni mwangu, kama atakuwepo mtu hapa JF akafanikisha hili nitafurahi sana.
Mawazo yangu..
- Ni mtu akipewa kazi yuko reliable.. and committed
- Tokana na position yake scandal zake very minimal
- Ana swagger za kizungu saana tu but dharau sio kivele
- She is strong, alipata scandal ya ngono (ze utamu) but haikumteteresha physically
- Hana mashauzi (wakati yupo UDSM) alikua anaishi maisha ya kawaida,
clothing decent and too ordinary nafikiri alikua anapunguza attention juu yake
INAWEZEKANA niko biased, for I do adore her... Hongera zake dogo
omba namba kwa hashiimu...
swaga za kizungu unazo baba?
usije ukaboleka bure we wwataka swaga za kibena yeye analeta za broklyn...
i knw her.
kwa fashen show poa bt for woman to mary hapana NOOO!!!!!!!!!!![/QUOTE]
Kweli?Haka kabinti mbona kalikuwa kametulia tu toka kanasoma kule Mbagala-St. Anthony's.Au wameshakaharibu mapedeshee?
Ashadii ... scandal zake sio very minimal ila ziko "very hidden" .... fuatilia sakata lake na "mchunga kondoo wa bwana" fulani hv aliyewahi kuhudumu pale mikocheni ... hata huyo HT anakula na wenziwe ... sema binti ni mjanja ... analiwa na watu wasio na mapepe ... hii imemsaidia sana kutoku-raise attention ya wadaku wa shigongo ... sasa hapo kwa HT sijui imekuwaje ...
Kingine mwenye kisu kikali ndiyo hula nyama."Usione vinaelea, vimeundwa"
teh teh umenikumbusha mbali sana .fashion show wanatesa na wanapenda swaga za broklyn usipimeomba namba kwa hashiimu...swaga za kizungu unazo baba?usije ukaboleka bure we wwataka swaga za kibena yeye analeta za broklyn...i knw her.kwa fashen show poa bt for woman to mary hapana NOOO!!!!!!!!!!!
omba namba kwa hashiimu...
swaga za kizungu unazo baba?
usije ukaboleka bure we wwataka swaga za kibena yeye analeta za broklyn...
i knw her.
kwa fashen show poa bt for woman to mary hapana NOOO!!!!!!!!!!!
View attachment 32130
Wadau salam,
Kusema kweli bila kuuma maneno nimetokea kumpenda sana huyu binti ila sijui hata namna ya kukutana nae ili nimwambie kilichopo moyoni mwangu, kama atakuwepo mtu hapa JF akafanikisha hili nitafurahi sana.