Nampenda sana huyu dada Sky Eclat


MCHEKI Mshana Jr atakupa mwongozo..... wote huwa wapo kwenye jukwaa la usiku wa manane..
 
Mpaka hii post ya 44 Sky Eclat ajatokea najiuliza kama ingekuwa pm may be ingechukua miezi kujibu pm zako . Samahani sina nia mbaya sky eclat
 
Ooooh hahahaha aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Mkuu
 
Mkuu huyo ukiwa naye nadhani hutaboreka kwa stori. Maana mda wowote anaweza anza kwambia "Rafiki wa shemeji yake ameachishwa kazi mumshauri...., mara shosti yake kaolewa na jamaa ana kibamia"
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
hata mie namkubali sana huyu mdada nahisi nishawahi muinbox ila sikupata majibu ya salam yangu
 
Naona PM haijatosha mpaka ukaamua kuandika Uzi humu jamvi

Moyo sukuma damu c vingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mara alikwenda nigeria, akapata bwana mghana ofisini ambayo ipo posta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…