Nampenda sana ila hanielewi

Nampenda sana ila hanielewi

hahahahah!kama unampenda kweli ukimrudishia picha yake wewe baki na nega..teh teh ukimkumbuka unaenda kuisafisha,(hivi mpaka leo mapicha ya nega bado yapo kweli)

asiangaike hvyo kama manzi wake yupo fb a download pich yake alafu akaisafishe then ampelekee amwambie hivii nilikurudishia ile maana nilikua na nyingine hi hapa my sweet anaweza akarudisha moyo nyuma
 
Umetikisa kiberiti kimetikisika...doh pole mkuu...mfate tena mwambie yaishe ulikuwa na hasira tu.
 
Ulikurupuka kusema basi wakati bado unapenda? rudi kamwambie unapenda na mweleze msimamo wako kwake..........
 
Jana kuna maza anakaa nae nyumba moja alinambia ametumwa aje aniombee msamaha maana,nifanyaje wakuu!
 
Pole jamani...kwa hiyo picha yake huitaki tena? Hata kwa kumbukumbu tu?
 
Ha ha ha, jamaa amenikumbusha mbali huyu, eti kurudisha picha daaah imekaa kinanalog hiyo...

Sent from my iPhone using JamiiForums app


Hahahaha......si unajuwa tena old is gold mzee....
 
Yaan kusikiaa tu mi mpaka nioneee bila ya hivyo siachii mtuuu
 
Young blood..Get your $#!t together. ...don't be a crybaby. ..
 
Jamani wana mmu

Naombeni ushauri wenu kwa binti huyu ambaye nampenda sana na yeye alikuwa ananipenda sana ila saiz tumegombana kama wiki moja hivi.Kisa aliambiwa na rafiki yake mimi nina mpenzi mwingine na yeye ni mgeni mtaani,kwa hiyo toka alivyosikia hivyo na alikuwa ananipenda sana tumekaliana kimya kwa wiki sasa na juzi nilijaribu kuongea nae lakini hakunielewa hata kidogo nikajaribu kumuambia tuachane na nikamrudishia picha yake.Lakini saizi moyo unaniuma sana kuchana nae na kiukweli mpenzi mwingine sina na nina mawazo muda wote,naombeni msaada wenu
 
update please.
Jamani wana mmu

Naombeni ushauri wenu kwa binti huyu ambaye nampenda sana na yeye alikuwa ananipenda sana ila saiz tumegombana kama wiki moja hivi.Kisa aliambiwa na rafiki yake mimi nina mpenzi mwingine na yeye ni mgeni mtaani,kwa hiyo toka alivyosikia hivyo na alikuwa ananipenda sana tumekaliana kimya kwa wiki sasa na juzi nilijaribu kuongea nae lakini hakunielewa hata kidogo nikajaribu kumuambia tuachane na nikamrudishia picha yake.Lakini saizi moyo unaniuma sana kuchana nae na kiukweli mpenzi mwingine sina na nina mawazo muda wote,naombeni msaada wenu
Update please.Ten years later
 
Back
Top Bottom