Presida2020
Member
- Feb 17, 2013
- 31
- 3
Tulia ka vile humjui, then potezea asikuumize kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahah!kama unampenda kweli ukimrudishia picha yake wewe baki na nega..teh teh ukimkumbuka unaenda kuisafisha,(hivi mpaka leo mapicha ya nega bado yapo kweli)
Yani hata sijielew jamani
Ha ha ha, jamaa amenikumbusha mbali huyu, eti kurudisha picha daaah imekaa kinanalog hiyo...
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Jamani wana mmu
Naombeni ushauri wenu kwa binti huyu ambaye nampenda sana na yeye alikuwa ananipenda sana ila saiz tumegombana kama wiki moja hivi.Kisa aliambiwa na rafiki yake mimi nina mpenzi mwingine na yeye ni mgeni mtaani,kwa hiyo toka alivyosikia hivyo na alikuwa ananipenda sana tumekaliana kimya kwa wiki sasa na juzi nilijaribu kuongea nae lakini hakunielewa hata kidogo nikajaribu kumuambia tuachane na nikamrudishia picha yake.Lakini saizi moyo unaniuma sana kuchana nae na kiukweli mpenzi mwingine sina na nina mawazo muda wote,naombeni msaada wenu
Update please.Ten years laterJamani wana mmu
Naombeni ushauri wenu kwa binti huyu ambaye nampenda sana na yeye alikuwa ananipenda sana ila saiz tumegombana kama wiki moja hivi.Kisa aliambiwa na rafiki yake mimi nina mpenzi mwingine na yeye ni mgeni mtaani,kwa hiyo toka alivyosikia hivyo na alikuwa ananipenda sana tumekaliana kimya kwa wiki sasa na juzi nilijaribu kuongea nae lakini hakunielewa hata kidogo nikajaribu kumuambia tuachane na nikamrudishia picha yake.Lakini saizi moyo unaniuma sana kuchana nae na kiukweli mpenzi mwingine sina na nina mawazo muda wote,naombeni msaada wenu