Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Acha maringo mtoto, sikiliza sound za mselaa sio unamkazia uzi. Mwite chemba m'bonge sio kumkazia liveWewe nahao mabwegee wenzio mtahangaika sana nabadoo I repeat siogopi NG'OOOO
Tuma hata picha 1000000000
Ulikuwa hujui wanaume ndivyo walivyo baadhi yao humu akihisi tu unatoka na mtu wanaanza chokochoko,,kaza mkanda funga na kamba smart muelewa bana hawezi maindi hivi vitu
[emoji23]hahahah nipe na nanyinyi mpaka nijuwe mwisho wenu
mapovu yake anayoyatoa leo yananifurahisha sanaUnacheeeka,
Mungu anakuona ujue
Acha maringo mtoto, sikiliza sound za mselaa sio unamkazia uzi. Mwite chemba m'bonge sio kumkazia live
Aah wapi babu mi huniwezi hata kidonchoNa wewe kaa mkao wa kula... lazima nikuanzishie sredi ndo ukome kuninyima K
Easy easy mamaWee FORTALEZA umetumwa???
Kwanini unataka kuniharibia lakini???
Kwanini hivi lakini???
I joined jf 9th April 2013
All these years nilikuepo tu humu hakuna alieleta complain live live kwahiyo kipindi choote hiki lakini kwanini leo hivi mara vile??!
Kwanini maneno maneno na mambo ya kiswahili swahili yamekua mengi after having Smart911 in my hands?? ??? Dahhhhhhhhhhh
Anyway God knows
Smart911 I know nothing about this kwakweli kama unanihukumu nihukumu
Nadhani nia yao ya kunichafulia na kuniharibia tu imetimia .
ha ha haaa sasa wewe ndo unatafuta mangumi kabisaaKwan umegawa nn,..!? Na mm nigawie!
UpoooHahahhahhhaha[emoji165]
Mate japo kama umepanik ila kwa hili nakuunga mguu. Calm down tho!!
ha ha haaa sasa wewe ndo unatafuta mangumi kabisaa