Nampenda sana Mahondaw

Kizuri kula na ndugu zako jamaa acha mambo zako bana. Acha nasisi mechi za kirafiki tupige bana, kuna show za ndani na za nje wacha tusimamie
 
Valentina... Watashindana lakini hawatashinda... Mambo madogo sana haya.. Ishajulikana dhamira ya mleta thread... But Smart911 and mahondaw are here to stay forever...
 
Nishamjua ni nani... Na dhamira yake naijua... Lakini hawezi... Relax...
 
Hivi huu uzi unaendana vipi na theme ya JF ya great thinkers?

Au wanaochangia ndio ma moderator?
 
Reactions: Pep
Siku izi, kama kuonga unaonga kimiya kimiya kwa sababu kuna wadada wakali sana usiku wapo barabarani wanajiuza. Wengineo wapo Bongo Movie wanajiuza hatari sana [emoji145]
Kuna watu wana mambo ya kijinga sana... Wakiona mtu ana mtu basi nao ndiyo wanakifanya ujuaji...
 
Usijali mahondaw wangu... Ni kweli nimechukia but i will never let the enemy win... Lets always keep our heads up... Walk like there is no death... Coz u r my qeen...
 
Ohoooooo wewe sasa unataka kuleta varangati humu la kufa mtu na mpenzi wake mahondaw. Shauri yako.
Hao ni watoto wadogo wanajifunza kutongoza... Ndiyo hao hao wakiombwa laki5 povu zinawatoka..
 
Mmmh maneno yote haya mimi mpitaji najisikia vibaya sijui huyu mwenye thread anajisikiaje.. Jf mfanye fanye kuwe na option ya kufuta uzi paleunapoona maji yamezidi unga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…