Nampenda sana Mahondaw

Mmmh maneno yote haya mimi mpitaji najisikia vibaya sijui huyu mwenye thread anajisikiaje.. Jf mfanye fanye kuwe na option ya kufuta uzi paleunapoona maji yamezidi unga
Thread za hivyo ni za kawaida humu ndani mbona!!!labda hiyo sintofahamu iliyotokea
 
Huyu atakuwa jinsia ya kike... Ndiyo wana wivu kama huu... Wenye chokochoko na umbea... They will never stop saying... Wache waseme... You are my baby... My only one... Asikimize kichwa kabisa... Ana beep tu huyu....
 


..So sweet!, nawafagilia sana na mapenzi yenu open and mubashara. Msiruhusu kidudu mtu kiwaharibie.
 
Tuliza munkari mjukuu... jamaa anafanya chitchatting tu.

Ukiichukulia JF siriaz kihivyo, unaweza kupata kansa ya nywele.
Hakuna chit chating kwenye mali ya mtu... Wakae mbali na mali yangu... Yes mahondaw ni mali yangu...
 
Mmmh maneno yote haya mimi mpitaji najisikia vibaya sijui huyu mwenye thread anajisikiaje.. Jf mfanye fanye kuwe na option ya kufuta uzi paleunapoona maji yamezidi unga
Hapo ndio utapojua JF is a user Generated Content.

Na

Human Moderated system. Wao bado hawajaona Tatizo kwenye Thread. Pamoja matusi yote, duh...
 
Chitchating wakati ananiharibia???
Don't you know Smart911??!

Hivi unafikiri atanielewa kweli?!? how?!
Kitu ambayo nashangaa all these years mbona nilikuepo tu lakini why today??? dahhhhhhhh!!
Kuna wadada humu wengi tu wanaopenda kushobokea wanaume.. Si afanye nao chit chatting.. Siyo kwenye relationships za watu..
 
Indeed it is planned lakini plan zake zime fail... Kwa sababu hakuna jipya...
 
Si ya kucheka haya mkuu Washaniharibiaa ndoa yangu hao hapo ni kulia tu make naona msiba huooooo
Love... Thursday surprise ipo pale pale... Atakaye jilengesha aone atakavyogombaniwa...
 
mahondaw my dear cool down... Don't take serious

Nadhani jamaa anatania tu kama ilivo matani ya Jf sikuzote. Don't panic pls

Na bila shaka hata smart wako ni mtu muelewa na very smart kama ilivo I'd yake...
I am a very understanding man... Gentleman but crazy sometime... Ndiyo maana hata i mind my on business humu JF.. Ila mtu anapojaribu to mind my business.. Hapo ndiyo mambo yanapoharibika... mahondaw she is my business... What ever she wants i give her... Wereva she wants to go i take her... What ever she wants to do we do together...
 
Love... Thursday surprise ipo pale pale... Atakaye jilengesha aone atakavyogombaniwa...
Aliefanya hivo sio vzur and mu mpuuze tu... Lkn Mkuu Mahusiano yenu yasiwe mahusiano ya Jf mnachafua mandhari humu. Mnafanya ez if wengi watoto humu... Huo ni ushamba...
 
Reactions: Pep
Miye wapi mimi ni kibibi kabisa kishamba cha hovyo hovyo sina mbele wala nyuma nipo nipo tu nimepaukaaaa mshamba nambari moja duniani
Usipate tabu ya kusema vile wanavyotaka kujua... Its true you are beautiful sweet young and sexy lady....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…