Nampenda sana Mahondaw

Kwa hiyo ndo mmekuja kujitangaza hapa jf au? Ulimbukeni wa mapenzi bhana tabu kweli. Mambo yenu ya ndani kuyaweka hadharani ili iweje? . Ila haina shida ndo mfumo wa maisha yenu mlioamua Ila tambueni kuwa mahusiano mnapo yaweka open sana hususani mitandaoni ndo mnakaribisha majaribu mengi sana kati yenu. Kwa mfano mm huyo mahondaw nilikuwa si mjui Ila kutokana na hii nimemfahamu na naweza kushawishika kumfahamu zaidi na hiyo si kwangu tu Bali kwa wanaume wengi. Na tuje upande wa smart Dada umejitahidi sana kumtaja sana na kumtetea na kuonyesha unamapenzi nae. Ila tambua kunawanawake wenzio umewapa nafasi ya kutaka kumfahamu zaidi maana inaonekana anakitu cha ziada ndo maana umetokwa povu na kuvurugwa. Hivyo basi kuanzia sasa tegemeeni kupata misukosuko mikubwa na muwe na vifua vya kuyavumilia maana ligi mmeianzisha wenyewe. Jifunzeni mfano kwa diamond na wema na harmonize na wolper yako wapi. Niushauri tu kama nitakuwa nimewakwaza nisameheni nimeongea kwa nia njema tu.
 
Teh teh teh[emoji23] [emoji23] yani nimepitia comments
Zako lkn hii imenibidi nichekeee... Waambie wenzio ukweli maana wakwaree wa humu ni noumaaa....au unaogopa kumpoteza
Smart

Tehteh best Wee acha tu anyway Smart911 niwangu tu mbona he knows me in and out ndomana amawacheka wakware kwa dharaaaau

Cc Smart911
 
Mimi Nashangaa ndoa ni yao wangepiga chini wakachukulia utani hakna mtu angejua... Kumbe ndoa siku hizi ni matangazo huu ni utoto wa hali ya juu na Charlie naye anaonesha hana busara sehem kama hii mna date.. Hi Kali ya Karne...Nazan watajifunza kadri muda unavoenda... Ndoa sio ya utani hivi
 
Ofcooooooooooourse! Unajua nini
Dah jana nilichanyikiwa sana nikifikiria Smart911 wangu anipeperuke hivihivi huku naona dahhhhhhhhhhh it's not that easy
Hata Michael Bolton alisema....

When a man loves a woman
Can't keep his mind on nothin' else
He'd trade the world
For a good thing he's found
If she is bad, he can't see it
She can do no wrong
Turn his back on his best friend
If he puts her down

When a man loves a woman
Spend his very last dime
Trying to hold on to what he needs
He'd give up all his comforts
And sleep out in the rain
If she said that's the way
It ought to be

When a man loves a woman
I give you everything I got (yeah)
Trying to hold on
To your precious love
Please don't treat me bad

When a man loves a woman
Deep down in his soul
She can bring him such misery
If she is playing him for a fool
He's the last one to know
Loving eyes can never see

Yes when a man loves a woman
I know exactly how he feels


Siwezi kukuacha kirahisi rahisi mahondaw wangu... Nitachukia, nitakasirika mwisho wa siku i will forgive you...
 

Nakereketwaje kusema kitu hapa ila anyway
Wacha nifunge domo langu mie

Yashaisha mkuu as long as Smart911 is in my hands walaa sitetereki
Nivile tu kama wengi walivose ni panic

Smart911
 
Mimi simjui huyu MTU.
Je anaishi wapi?
 
Yo wellcome honey.
 
Hivi hii ni real?
Itakuwa nimeingia choo cha jinsia ingine
 
Tatizo watu wanapenda unafiki sana, kila mtu ana limits, kila mtu ana madhaifu pia, hakuna alokamilika. Na kizuri kwa huyu chaweza kuwa kibaya kwa mwingine na kinyume chake.

Cha msingi ni kile kinachowaweka pamoja.
 
Nimesoma pages zote,kila comment. Sasa najiuliza, huyu mtu kaja na thread yake anamzimia mahondaw sasa inakuwaje Smart911 akereke kiasi cha kuhatarisha uhusiano?!

Alichofanya mtoa mada ni sawa na mtu akutane na gf/mke wako mtaani halafu huyo mtu avutiwe nae na aamue kuweka mkakati wa kumpata, sasa wewe bf/mume utakasirika mpaka kutishia ndoa/uhusiano wako?

Au kuna kitu zaidi ya hii thread ambacho sisi wengine hatukijui ndio kimeleta huu mtafaruku?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…