Nampenda sana Mahondaw

ila jaman mfano mimi ndo ingekuwa mpenzi wangu anafanyiwa hv.. mbona ni rahisi kuelewa... as long as namwamini mtu wangu basi....!!!!!

Kama ulimpata demu kwa kumpa lift, siku ukiona amepewa lift unajua atagongwa.

Get my point.
 
Kama ulimpata demu kwa kumpa lift, siku ukiona amepewa lift unajua atagongwa.

Get my point.
kwahiyo unamaanisha hawa walipatana mitandaoni.. kwahiyo unapoona mtu wa mtandaoni anafukuzia unajua yale yale... au sio mkuu...!!!!
 
Ni "mzuri" wa kupendeza lakini "ukweli" (mimi wa namna hii huwa "siwapendi") ni mtazamo wangu'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…