Nampenda sana Mahondaw

Nampenda sana Mahondaw

ila jaman mfano mimi ndo ingekuwa mpenzi wangu anafanyiwa hv.. mbona ni rahisi kuelewa... as long as namwamini mtu wangu basi....!!!!!

Kama ulimpata demu kwa kumpa lift, siku ukiona amepewa lift unajua atagongwa.

Get my point.
 
Kama ulimpata demu kwa kumpa lift, siku ukiona amepewa lift unajua atagongwa.

Get my point.
kwahiyo unamaanisha hawa walipatana mitandaoni.. kwahiyo unapoona mtu wa mtandaoni anafukuzia unajua yale yale... au sio mkuu...!!!!
 
Nimekuwa namfatilia mrembo huyu kwa muda mrefu huwa ananikosha sana kwa komenti zake, ucheshi wake na hata masihara yake.
Mahondaw njoo hapa nikuhonge mgodi wangu wa hapa Kiwira ili nikuoe na nikupeleke Ibiza ukale maisha sio vumbi la hapa bongo
Mahondaw popote ulipo sikia kilio changu.
C91bVUKXoAAJaNa.jpg
Ni "mzuri" wa kupendeza lakini "ukweli" (mimi wa namna hii huwa "siwapendi") ni mtazamo wangu'
 
Back
Top Bottom