bruno bera
New Member
- Apr 20, 2017
- 2
- 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VeeepeeRafiki siyo mimi,naomba nisamehe please usinihusishe na huu uzi kwa sababu mziki wa huu uzi sitauweza!![emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kuna mtu hapa kasema eti mhusika ni wewe na umetumia ID mpya!Veeepee
Mbona waruka vihunzi
Machame Kisiki
HahahaKuna mtu hapa kasema eti mhusika ni wewe na umetumia ID mpya!
Hapa ni uongo mahondaw hawezi kuwa hiviNimekuwa namfatilia mrembo huyu kwa muda mrefu huwa ananikosha sana kwa komenti zake, ucheshi wake na hata masihara yake.
Mahondaw njoo hapa nikuhonge mgodi wangu wa hapa Kiwira ili nikuoe na nikupeleke Ibiza ukale maisha sio vumbi la hapa bongo
Mahondaw popote ulipo sikia kilio changu.
![]()
Ubarikiwe InnaNimeshatoka mtakatifu
Nyota imekuwakia lolWee FORTALEZA umetumwa???
Kwanini unataka kuniharibia lakini???
Kwanini hivi lakini???
I joined jf 9th April 2013
All these years nilikuepo tu humu hakuna alieleta complain live live kwahiyo kipindi choote hiki lakini kwanini leo hivi mara vile??!
Kwanini maneno maneno na mambo ya kiswahili swahili yamekua mengi after having Smart911 in my hands?? ??? Dahhhhhhhhhhh
Anyway God knows
Smart911 I know nothing about this kwakweli kama unanihukumu nihukumu
Nadhani nia yao ya kunichafulia na kuniharibia tu imetimia .
Hata mimi naamini ni wewe....ushanipeperushia ndege wangu wa JF wewe!Rafiki siyo mimi,naomba nisamehe please usinihusishe na huu uzi kwa sababu mziki wa huu uzi sitauweza!![emoji120] [emoji120] [emoji120]
Sio yeye... yeye ni Fortune Mongi wa FBHuyo ndie yeye au ume google picha za watu
[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hata mimi naamini ni wewe....ushanipeperushia ndege wangu wa JF wewe!
Hivi ni kweli yule njiwa alipeperuka mkuu?[emoji15]Hata mimi naamini ni wewe....ushanipeperushia ndege wangu wa JF wewe!
Kapeperuka mkuu....amechukia eti najitangazia kwa watu ukiwemo wewe.Hivi ni kweli yule njiwa alipeperuka mkuu?[emoji15]