Nampenda sana Mahondaw

Nampenda sana Mahondaw

hapo napiga deki kuanzia unyoya hadiiii unywelee... mtoto kajaaliwaaa si mchezo.."
 
Nimekuwa namfatilia mrembo huyu kwa muda mrefu huwa ananikosha sana kwa komenti zake, ucheshi wake na hata masihara yake.
Mahondaw njoo hapa nikuhonge mgodi wangu wa hapa Kiwira ili nikuoe na nikupeleke Ibiza ukale maisha sio vumbi la hapa bongo
Mahondaw popote ulipo sikia kilio changu.
C91bVUKXoAAJaNa.jpg
Hapa ni uongo mahondaw hawezi kuwa hivi
 
Wee FORTALEZA umetumwa???

Kwanini unataka kuniharibia lakini???

Kwanini hivi lakini???
I joined jf 9th April 2013

All these years nilikuepo tu humu hakuna alieleta complain live live kwahiyo kipindi choote hiki lakini kwanini leo hivi mara vile??!
Kwanini maneno maneno na mambo ya kiswahili swahili yamekua mengi after having Smart911 in my hands?? ??? Dahhhhhhhhhhh
Anyway God knows

Smart911 I know nothing about this kwakweli kama unanihukumu nihukumu
Nadhani nia yao ya kunichafulia na kuniharibia tu imetimia .
Nyota imekuwakia lol
 
Back
Top Bottom