Nampenda sana miss chaga

Nampenda sana miss chaga

Habari za leo natumai wote ni wazima.

Mimi ni member mpya humu lakini kuna jambo limenitokea na nikaona ni bora nika share hapa jambo lenyewe ni kuwa tangu nijiunge jamii forum kuna member nimetokea kampenda na kumfurahia sana nae si mwingine bali ni miss chagga nampenda sana
nawasilisha
Kaka umevagaa demu la admin sababu ya papara zako... soma kwanza mazingira kabla hujakurupuka..
 
Back
Top Bottom