Nampenda sana mpenzi wangu

Nampenda sana mpenzi wangu

Habari zenu wote.Nimewamiss kweli,ila nilikuwa busy na shughuli za kitaifa! Nimepata mpenzi,ni kila kitu kwangu,nampenda kuliko chochote maishani mwangu,tatizo moja tu ana wivu sana na anakosa uaminifu kwangu wakati mimi nimezama kwake hoi bin taabani kama mtoto mchanga na ziwa la mama,hata pembeni siangalii.Nifanyeje ili aniamini na apunguze wasiwasi kwangu?

Huyo mpenzi wako anakupenda sana pia na ndio maana ana wivu kwako ila ninahisi kuna vitu unavyofanya kisirisiri na vinamfanya awe na wivu/kukosa uaminifu kwako kabisa na hii ni mbaya sana katika mahusiano.

Jaribu kuwa muwazi kwake pia jaribu kuongea nae na kumuuliza ana wasiwasi na vitu gani kwako, jiweke huru kwake ili awe na amani. Kama kuna vitu ambavyo si sawa virekebishe kabisa.
 
Dogo,
Angalia humo kwenye bluu~
Huku si kupenda sasa ni matatizo!
Nyie ndio mnapata heart attack mkitemwa baadae!
Mapenzi ni hatua, nenda taratibu...Ukiyaendea pupa mapenzi yanaua!
Umemshauri vizuri,sasa kazi kwake kuichukua ama kuiacha_ila namshauri aichukue itamsaidia sana,..otherwise tutegemee maumivu na kilio cha kusaga meno siku si nyingi.
 
Dogo,
Angalia humo kwenye bluu~
Huku si kupenda sasa ni matatizo!
Nyie ndio mnapata heart attack mkitemwa baadae!
Mapenzi ni hatua, nenda taratibu...Ukiyaendea pupa mapenzi yanaua!
Unajua PJ mapenzi yanapokuja huwa hayana taarifa kusema uende taratibu
yanapookukumba ndi moja kwa moja ngwala chini una fall
 
ndo tuko kwenye process lakini tunachunguzana tabia kwanza
Moja hiyo ushaigundua....... WIVU................ Nakushauri............usijechunguza sana halafu ukapata vitabia ambavyo huwezi kuvifanyia maamuzi ...........
 
Habari zenu wote.Nimewamiss kweli,ila nilikuwa busy na shughuli za kitaifa! Nimepata mpenzi,ni kila kitu kwangu,nampenda kuliko chochote maishani mwangu,tatizo moja tu ana wivu sana na anakosa uaminifu kwangu wakati mimi nimezama kwake hoi bin taabani kama mtoto mchanga na ziwa la mama,hata pembeni siangalii.Nifanyeje ili aniamini na apunguze wasiwasi kwangu?
yaani mtu unajiachia kwa mtu weee hayo mapenzi ya kidot com siku ukimwagwa ndo utajuta sio kwamba ana wivu anatafuta sababu za kukuacha huyo.ukiona upo kwenye mahusiano na mtu analetaleta viugomvi na mawivu yasiyo na msingi jua amekuchoka sema kona ya kukupatia akupige chini anakosa.so kuwa makini acha kujiachia hii ni dunia wewe loh
 
Huyo mpenzi wako anakupenda sana pia na ndio maana ana wivu kwako ila ninahisi kuna vitu unavyofanya kisirisiri na vinamfanya awe na wivu/kukosa uaminifu kwako kabisa na hii ni mbaya sana katika mahusiano.

Jaribu kuwa muwazi kwake pia jaribu kuongea nae na kumuuliza ana wasiwasi na vitu gani kwako, jiweke huru kwake ili awe na amani. Kama kuna vitu ambavyo si sawa virekebishe kabisa.

ndugu yangu nashukuru sana,umenitoa hofu!na najitahidi kuwa muwazi kwake katika kila jambo ili aelewe tu kuwa nampenda na sitaki kumkosa maishani mwangu
 
Umemshauri vizuri,sasa kazi kwake kuichukua ama kuiacha_ila namshauri aichukue itamsaidia sana,..otherwise tutegemee maumivu na kilio cha kusaga meno siku si nyingi.

igweeeeeee
 
yaani mtu unajiachia kwa mtu weee hayo mapenzi ya kidot com siku ukimwagwa ndo utajuta sio kwamba ana wivu anatafuta sababu za kukuacha huyo.ukiona upo kwenye mahusiano na mtu analetaleta viugomvi na mawivu yasiyo na msingi jua amekuchoka sema kona ya kukupatia akupige chini anakosa.so kuwa makini acha kujiachia hii ni dunia wewe loh

dah smile umenifanya ninune ghafla,me najua ananipenda lakini ngoja tuendlee ukweli hujidhihirisha wenyewe
 
Habari zenu wote.Nimewamiss kweli,ila nilikuwa busy na shughuli za kitaifa! Nimepata mpenzi,ni kila kitu kwangu,nampenda kuliko chochote maishani mwangu,tatizo moja tu ana wivu sana na anakosa uaminifu kwangu wakati mimi nimezama kwake hoi bin taabani kama mtoto mchanga na ziwa la mama,hata pembeni siangalii.Nifanyeje ili aniamini na apunguze wasiwasi kwangu?
Huo usemi huwa unanipa wasiwasi sana
 
Back
Top Bottom