Nampenda sana Relief Mirzska

Nampenda sana Relief Mirzska

Hahaaaaaa dark angel unazingua wewe.. si ulitukimbia kwenye uzi wa mapopo.. ujakimbia na Iceman3D mimi ndio ikawa baibai naona jamaa alinizidi kete kwa zile exile tulizokua tunapigiana
Sikukimbia na @iceman3d yeye nilimuacha mimi nikaondoka na mwingine.
Tulikupiga exile za kibabe hahaha kila dakika unakuja kuchungulia tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan umeshindwa kumtafuta live ukamwalika dinner ukavaa nguo flan ya mtego ukamnunulia wine or whisky kacocktail kiaina ukamtega akakutomb* huna mbinu kabisa wanaume sisi sio wagumu hivooo
 
Back
Top Bottom