RAYAN THE DON
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 679
- 1,218
- Thread starter
-
- #141
Mwambie akae pembeni aache wivu.Jiraniii acha kuniharibia
UwiiiWamesema hivi mwanamke asiye na gari hajatimia.... Kuna mtu alisema humu
MabahariaKwahiyo sisi tusio na gari sio wanawake ni wanaume
SijuiHivi mimi ni kiportable au chibonge
Umesema shunie ndo kakufanya ujiunge jf, ina maana ulishamjua nje ya jf? Kama ndivyo kwanini usingemuimbisha huko huko ulipomjua?
Uwiii
Kwahiyo sisi tusio na gari sio wanawake ni wanaume
Mind your own business chief.Nyie mabinti ni kitu gani mnatupendea sisi wanaume tuliooa?
Habari zenuenu wakuu wa JF? Wakuu bila kupoteza muda ningependa kutambua hasa ni kitu gani kinasababisha hawa Warembo ambao bado hawajaingia katika maisha ya ndoa watupende sisi wanaume ambao tayari tumeingia katika maisha ya ndoa. Wakuu ofsini kwetu kuna warembo wengi sana ambao wapo single...www.jamiiforums.com
Kijana em kazania masomo kwanza..
Nisamehe baba Dickson 😔Mama Dickso, tatizo ulinikera sana ulipo nitangaza kuhusu 7800
Jiraniii acha kuniharibia
Mpunga umeiva mkuu kila mtu anataka jikoHuu ni msimu wa couples, na vijana naona wanazidi ku kunjua roho
Uwe unakaa kimya wanaume wakiwa wanaongea dogo.Aisee hivi Machalii wa Darisalade sijui wa Seminary mna shida gani??Yaani ariff unalilia kisoro ivo kisa manzi tu!!We msalandie kibingwa mwambie umemwelewa na unataka umpige viwili chapchereee..yeah ivo yaan bablai acha uree
Au sio!!Nakubali Buddah boss.Uwe unakaa kimya wanaume wakiwa wanaongea dogo.
FreshAu sio!!Nakubali Buddah boss.