Nampenda sana Shunnie

Nampenda sana Shunnie


Kijana em kazania masomo kwanza..
 
Niliumia sana kuona lile neno, tena kutoka kwa member yule [emoji29][emoji29][emoji29] tutafute pesa tu hakuna namna
Kwahiyo sisi tusio na gari sio wanawake ni wanaume
 

Kijana em kazania masomo kwanza..
Mind your own business chief.
 
Aisee hivi Machalii wa Darisalade sijui wa Seminary mna shida gani??Yaani ariff unalilia kisoro ivo kisa manzi tu!!We msalandie kibingwa mwambie umemwelewa na unataka umpige viwili chapchereee..yeah ivo yaan bablai acha uree
 
Mkuuu nimeshawaiii kumtangazia yalioomo ndanii ya Moyoo wanguu juu yake Shunnie
Lkn akapuuzaa ninauhakika hata wewe atokuja kukubaliiii mkuuu
Lkn jaribuu bahati mkuuu yaweza nyota yakooo inangaaa
 
Aisee hivi Machalii wa Darisalade sijui wa Seminary mna shida gani??Yaani ariff unalilia kisoro ivo kisa manzi tu!!We msalandie kibingwa mwambie umemwelewa na unataka umpige viwili chapchereee..yeah ivo yaan bablai acha uree
Uwe unakaa kimya wanaume wakiwa wanaongea dogo.
 
Mimi ni kaka yake kabisa! Maana yake ni kwamba, kama ombi lako litafanikiwa, utakuwa 'Muamu' wangu! Sasa ni vizuri ukatoa mapema 'ULAMU' wangu ili nikapigie 'Vipogo' vya kutosha vya mnazi na denge.
 
Back
Top Bottom