Nampenda sana Sky Eclat

Nampenda sana Sky Eclat

Kwa Mujibu wa ndoto zako unadai ni mrembo cjui mzuri, mrefu, vishimo cjui vya nini na sifa kede!!

Ss kama ukimkuta ni mbibi aliekula chumvi zake za kutosha na ni mfupi dizaini ya wale wa kule kilombero na mweusi dizani ya wa kule tukuyu.....je upo tayar ndoto yako ya kuwa nae kama mke na mume itimie!?
 
Hahahaaa! Best unataka kumfungukia nani tena!!
Umuhimu upo, hata mimi ilibidi nifungue nyingine baada ya ban.
Hahaha best umenifungua nami itanibidi tu hamna namna...nitakujuza tu nitakae mfungukia
 
Asalaam aleykum wana JF. Poleni na majukumu ya hapa na pale ya kutafuta riziki.

Lengo kubwa la kuleta huu Uzi mbele yenu ni kwamba nimetokea kumpenda sana huyu mdada SKY ECLAT. Umekuwa ukinitokea ndotoni mara nyingi sana nimevumilia nimeshindwa.

Ndotoni nimekuwa nikikuona mrembo uliyejaaliwa hivi vitu;
•mrembo uliyeenda hewani.

•mwenye umbo namba nane na msambwandwa wa kubinuka.

• Rangi ya chocolate( Rangi ya pesa)

• Una guu la champaign.

•Una mashimo mashavuni hata usipocheka yanaonekana.


•Midomo yako mizuri.

Nampenda na nina hisia kali sana juu yake. Napenda sana siku moja ndoto yangu itimie yani tuwe kitu kimoja( mume na mke) tujenge familia iliyo imara.

Sky Eclat naomba unielewe mdada kwa upendo million nilio nao juu yako.kila nikiona bandiko au hata comment yako kiukweli huwa napata faraja ya moyo asilimia 45℅.

Hivyo ili nipate faraja na amani ya moyo kwa asilimia zote mia inabidi hizo asilimia 55% uzikamilishe kwa kunipenda Kama navyofanya kwa upande wangu.

Nakupenda sana sky Eclat. Nina mengi ya kueleza juu yako ingawa maandishi hayatoshi kueleza Upendo wangu kwako isipokuwa tu moyo wangu.

Naomba kama hautojali nije PM tuyajenge mtoto mzuri Sky Eclat!
Hivyo vigezo vyote ulivyotaja na physical vinapotea with time would you still love ha after 15 years when all are gone but LOVE
 
Hivyo vigezo vyote ulivyotaja na physical vinapotea with time would you still love ha after 15 years when all are gone but LOVE
Nitahakikisha havipotei kihivyo Mkuu.

Nitampeleka gym, msosi mzuri so siku zote ataonekana kama binti wa mikai 20 kumbe ana miaka 40. Kama atanikubalia lakini.
 
Kwa Mujibu wa ndoto zako unadai ni mrembo cjui mzuri, mrefu, vishimo cjui vya nini na sifa kede!!

Ss kama ukimkuta ni mbibi aliekula chumvi zake za kutosha na ni mfupi dizaini ya wale wa kule kilombero na mweusi dizani ya wa kule tukuyu.....je upo tayar ndoto yako ya kuwa nae kama mke na mume itimie!?
Kitu cha muhimu ni Upendo Mkuu.

Age is just a number!
 
Back
Top Bottom