Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
Aisee kumbe hadi wagogo wanapenda pesa?nilijua wachaga tu!Shunie ndugu yangu najua unapenda hela hebu changamkia pesa za huyu mkulima wa mahindi hana cha kuzifanyia hizo pesa
alitaka kunipa trekta na pesa cash nimekataa mimi sasa kizuri kula na ndugu yako
usiseme sijakuambia angalia usipishane na gari la mshahara nakuaminia shunii
Kesharudi.Ngoja aje kutoka kwenye kale kaban kake anakokatumikia
hahahaa hana pesa,alikuwa anaugulia moyoni tu...sasa ndo kapata mwanya wa kufungukaπππππ kweli bana alikuwa wapi siku zote
Aisee nakuwaje mke wako tena mkuu mm nimezaa na watoto 3 mkuu nashukuru sana kwa kunipenda ubarikiwe sana mkuuShunie mke wangu nakupenda shunie wa jf nakuuliza umezaa?
Njoo najua kukufanya ujisikie mwanamke shunie
Khaaa shemeji tena kwa naniAsante shemeji yangu
Jf pekee ndio kuna haya mambo mtu anajimilikisha mke bila kukubaliwaKumpenda tu ushamwita mke na usipokubaliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mtu kaji-cc sijui tumueleweje
Asante kwa kunisaidia kuuliza hilo swaliKama amezaa utaacha kumpenda?
Umeuliza hilo
Mfyuuuuuuπππ Labda ndie shuni mwenyewe...
Shoga weeee tumeachiwa pamoja mapugi ni wabaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado witNgoja aje kutoka kwenye kale kaban kake anakokatumikia
EenhMimi sio shunie ila huwa nakatamani kale kadada we acha tu...sasa huyu aliyemuanzishia uzi huyu...ajiandae kisaikolojia.
Aiseeeeππππ
Ila mnamu overate tu ni wakawida mno..
Ongea nae waweza kubeba mzigo
Wowowo sina mieHapo umenena maana huwa kanaficha sura...basi kaoneshe walau wowowowowo kanaficha,eti kanatuonesha mgongo tu!ngoja atoke kifungoni silazi damu.
Tulipigwa wa5 ujueHilo ban tulipigwa wengi tu sababu ya ule uzi wa grace alokuwa analialia
Sasa wadada wakawa wanampa za uso
Mods wakatutandika ban for character asasination sijui
Mahela hana huyu bwana mwenye mahela atakuwa anaanzisha mathread kila siku usimjazeShunie ndugu yangu najua unapenda hela hebu changamkia pesa za huyu mkulima wa mahindi hana cha kuzifanyia hizo pesa
alitaka kunipa trekta na pesa cash nimekataa mimi sasa kizuri kula na ndugu yako
usiseme sijakuambia angalia usipishane na gari la mshahara nakuaminia shunii
Mm sio dada akee lemutuzAisee kumbe hadi wagogo wanapenda pesa?nilijua wachaga tu!
Nimerudi maaKesharudi.
Karibu maa!Nimerudi maa