Nampenda Shunie wa JF

Nampenda Shunie wa JF

Watakua wamerekebisha...

Si una jua ni muda wa kuchoma mkaa huu...
Hela itakuwepo pia Mgegedo heavy utaupata toka kwa bwana Nel
Hahahahahaaa kama umeota vile mkuu nafumua tanuri usiku wa leo,keshokutwa nauza,pesa zote nampatia huyo le totoz atafute wowowo
 
Sitaki wowowo langu linanitosha mkuu ila hizo hela ukiuza niletee zote
Hahahahahaaa kama umeota vile mkuu nafumua tanuri usiku wa leo,keshokutwa nauza,pesa zote nampatia huyo le totoz atafute wowowo
 
Inategemea hatuna cha ajabu tulichofanya mpaka kupewa ban kama tutarudi kawaida tu
Kama yangu iliniacha hoi
Screenshot_20180719-235530.jpg
 
Ahaaaa hapa chini kasema mihela ipo tayar ni ww tu kumkubalia..

Kama hela ipo sasa kula toto hilo apo lishautenga
Anipe mahela tu ila mgegedo hakuna akatafute wa kumgegeda
 
Back
Top Bottom