Maybe viranja walikuwa wanasoma comments kwanzaThread mbona ilifungwa siku moja kabla ya kupewa ban
Yani baada ya kuufufua ule uzi wa love connect ndo mlimvuruga mhusikaAcha kabisa yaani halafu tulikuwa tunapiga story wenyewe mara paap jini mkata kamba huyo hapo yaan dk 5 hazijachukua ban ikaanza kutembea
Nadhan alireport comments zote
Kuna jamaa alifungua uzi wa kuwalaumu mods kwenye compaints forumAcha kabisa yaani halafu tulikuwa tunapiga story wenyewe mara paap jini mkata kamba huyo hapo yaan dk 5 hazijachukua ban ikaanza kutembea
Akataja na uzi wa gire
Kabla sijaisoma vizuri post yake nikajikuta nimepigwa ban