Nampenda Shunie wa JF

Nampenda Shunie wa JF

Shunie ndugu yangu najua unapenda hela hebu changamkia pesa za huyu mkulima wa mahindi hana cha kuzifanyia hizo pesa

alitaka kunipa trekta na pesa cash nimekataa mimi sasa kizuri kula na ndugu yako

usiseme sijakuambia angalia usipishane na gari la mshahara nakuaminia shunii
Aisee kumbe hadi wagogo wanapenda pesa?nilijua wachaga tu!
 
Kama umeandika uzi wa kumpenda mtu zimepita zaidi ya saa kumi na mpaka sasa haujafika page 180 jua watu wanakuona kituko.

Take a chill pill
 
Shunie ndugu yangu najua unapenda hela hebu changamkia pesa za huyu mkulima wa mahindi hana cha kuzifanyia hizo pesa

alitaka kunipa trekta na pesa cash nimekataa mimi sasa kizuri kula na ndugu yako

usiseme sijakuambia angalia usipishane na gari la mshahara nakuaminia shunii
Mahela hana huyu bwana mwenye mahela atakuwa anaanzisha mathread kila siku usimjaze
 
Back
Top Bottom