Nampenda Sky Eclat

Nampenda Sky Eclat

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Nimekuwa nikisoma comment na post zake mara nyingi ni dada flani hivi ambaye aki-comment napenda kusoma comment yake, yuko positive sana na haonekani anajiona au kujiskia.
Na yuko funny kwa kiasi fulani.

Nampenda sana, hiyo haimaanishi namuhitaji kimahaba, lengo langu la kusema ni kumfanya ajue tu jinsi nnavyohisi juu yake. Ajue kuwa kumbe kuna mtu anafurahia mno michango na mashauri yake.

Habari hii ikufikie kokote ulipo Sky Eclat, nakupenda sana.

NB: Ndugu zangu msinielewe vibaya, Sitafutagi mpenzi mtandaoni. Siwezi date na mtu nisiyemjua kwa undani.
 
Nimekuwa nikisoma comment na post zake mara nyingi ni dada flani hivi ambaye aki-comment napenda kusoma comment yake, yuko positive sana na haonekani anajiona au kujiskia.
Na yuko funny kwa kiasi fulani.

Nampenda sana, hiyo haimaanishi namuhitaji kimahaba, lengo langu la kusema ni kumfanya ajue tu jinsi nnavyohisi juu yake. Ajue kuwa kumbe kuna mtu anafurahia mno michango na mashauri yake.

Habari hii ikufikie kokote ulipo Sky Eclat, nakupenda sana.

NB: Ndugu zangu msinielewe vibaya, Sitafutagi mpenzi mtandaoni. Siwezi date na mtu nisiyemjua kwa undani.


Pambana na hali yako mkuu.
 
Nimekuwa nikisoma comment na post zake mara nyingi ni dada flani hivi ambaye aki-comment napenda kusoma comment yake, yuko positive sana na haonekani anajiona au kujiskia.
Na yuko funny kwa kiasi fulani.

Nampenda sana, hiyo haimaanishi namuhitaji kimahaba, lengo langu la kusema ni kumfanya ajue tu jinsi nnavyohisi juu yake. Ajue kuwa kumbe kuna mtu anafurahia mno michango na mashauri yake.

Habari hii ikufikie kokote ulipo Sky Eclat, nakupenda sana.

NB: Ndugu zangu msinielewe vibaya, Sitafutagi mpenzi mtandaoni. Siwezi date na mtu nisiyemjua kwa undani.
Asante sana
 
Back
Top Bottom