Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Doctor Mama Amon

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
2,089
Reaction score
2,725
1688924453204.png

Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali

Kwa dhati, nampongeza Askofu Protase Rugambwa Prosper Iholana, ambaye familia yake inayo makazi ya kudumu katika Kijiji cha Kasheshe, Kata ya Nyaishozi, Wilaya ya Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.

Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.

Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.

Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".

Wote tumwekeni katika maombi.

 
View attachment 2683335
Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali

Kwa dhati, nampongea Askofu Rugambwa wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.

Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.

Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.

Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".

Wote tumwekeni katika maombi.
Posuta
 
View attachment 2683335
Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali

Kwa dhati, nampongea Askofu Rugambwa wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.

Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.

Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.

Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".

Wote tumwekeni katika maombi.
Hajazaliwa Karagwe.
Yaani ni tusi kubwa sana kumfananisha Muhaya na Wanyambo. Jiheshimu huyo kazaliwa Bunena, Bukoba mjini Kagera.
 
Baada ya Kumpongeza Kardinali...
Uje na thread ingine sasa ya kumshambulia Rais Samia...

It is no surprising...

Ha ha ha...

Huwa sishambulii mtu hata siku moja.

Mara zote natumia kanuni za urazini timamu katika kusanifu, kutetea, na kubomoa hoja, bila kumgusa mleta hoja/wazo.

Hivyo ndivyo wanazuoni tunavyopaswa kuenenda.

Na tayari NEC imeshatoa mwongozo. Katibu Mwenezi wa CCM amesema kuwa tuendelee kuelimishana kuhusu vitendo vya utekelezaji wa ibara ya 59 katika Ilani ya CCM (2020-2025) ili kufanya tathmini stahiki inayotuweesha kuona yafuatayo;
  1. Kama serikali inatekeleza mipango halali (whether what is done is legally right),
  2. Iwapo sababu ya kutekeleza mipango hiyo ni halali (whether the reason for what it is done is legally right) na
  3. Endapo mazingira ya utekelezaji huo ni halali (whether how, when, and who does or assists in doing it is legally right).
Ibara hiyo inasomeka ifuatayo:

1688928811618.png


1688928945781.png


1688928965970.png


1688928988264.png


1688929005633.png


1688929025523.png


1688929044590.png


1688929059591.png


1688929074638.png


1688929091977.png


1688929113024.png


1688929128472.png


1688929144260.png


1688929163661.png


1688929180623.png


1688929203916.png
 
View attachment 2683335
Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali

Kwa dhati, nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.

Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.

Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.

Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".

Wote tumwekeni katika maombi.


Kardinali atatusaidia nini katika maisha ya kila siku ya Watanzania, what i see ni Roman Catholic in Rome ndio wanajua faida yake.
 
Back
Top Bottom