Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Wenye tatizo ni nyie ambao hâta mlo kwa watoto ni shida
Mna absolutely poverty ukiona MTU anashindwa kumudu chakula kwa watoto ujue huyo ni maskini WA kupindukia
Pambaneni na utapiamlo kwanza Sisi sio level yenu [emoji2]View attachment 2688530
Mkapake rangi hayo mabati kwanza...
1689352378441.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Chakula tu kwa watoto kimekuwa shida Hadi udumavu ndio vingine mtaweza? Sisi ni next level kwanzia kipato,makazi bora,miundombnu bora,huduma za jamii
Yaani uchagani vijijin ni kama mjini Kila huduma IPO
Uchagan 90% ya Kila nyumba Ina umeme na maji Safi ya bomba wakati Kagera Hadi Léo Kuna maeneo watu Wana share Maji na tumbiliView attachment 2688532View attachment 2688533
Sio cha ajabu kwenye hizo nyumba maana zimajaa Bukoba hadi huko karagwe...

Muleba hio...

FyhB1PYaYAA1-MK.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom