luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Kadinali mwenyewe kakiri yéyé ni mnyambo Ila alizaliwa bunena kwakuwa baba yake alikuwa mfanyakazi WA afya HapoMarekebisho kidogo
Huyu ni mdogo wa Rugambwa sr
Na ni wa BUNENA BUKOBA SIYO NYAISHOZI KAMA UNAVYOSEMA
Pia askofu kilaini kasema hivyohivyo
Kwahyo ni mnyambo pure