Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mpk sasa Tanzania tumekua na makadinali wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm proud to be catholic 🙏🙏
Ukurasa wa ngapi?
JF is not a temple of speculation.
Leta ushahidi.
Kumbe nini😂Unadhani utumishi ni suala la vyeo au utume...
Nilimuuliza yeye mwenyewe swali hilo miaka mitano iliyopita. Akajibu kwamba hana undugu na Kardinali Laureano Rugambwa. Isipokuwa baba yake walikuwa marafiki wa karibu sana na marehemu Kardinali Laureano Rugambwa. Wakati marehemu anatawazwa kuwa Kardinali mjini Dar es Salaam mwaka 1960, baba wa Protase Rugambwa alisafiri kutoka Kagera kuja Dar kuhudhuria sherehe hiyo, akimwacha mama yake Protase hospitali akingojea kujifungua. Akaahidi kwamba kama mtoto atakuwa mwanaume atamwita Rugambwa na atafanya juu chini mpaka naye awe Kardinali kama Laureano. Hayo ndiyo yametimia.Hivi huyu anauhusiano gani na yule Kardinali wa kwanza Tanzania?
Hilo lina manufaa gani kwa taifa?View attachment 2683335
Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali
Kwa dhati, nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.
Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.
Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.
Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".
Wote tumwekeni katika maombi.
Usikute ni Ki Kanga??Jamaa amevurugwa sana na issue ya ugawaji wa bandari kwa sultan, The Boss wa sasa siyo yule tuliyemjua enzi na enzi.
Leta ushahidi wa kuwa Rugambwa kazaliwa Karagwe kwanza ndo mengine yafuate.
Kazaliwa Bunena Bukoba mjini. Sio Karagwe!! Kesho tunafinya mpunga Nyumbani kwao.
Hilo lina manufaa gani kwa taifa?
Kazaliwa Bunena Bukoba mjini. Sio Karagwe!! Kesho tunafinya mpunga Nyumbani kwao.
Kazaliwa Bunena Bukoba mjini. Sio Karagwe!! Kesho tunafinya mpunga Nyumbani kwao.
Asante bro kwa kujibu. Haiwezekani Muhaya kwao ikawa Karagwe.
Mkuu mm pia Ni mkkkt mtihifu sna I'll kwa Hili siko nyuma kumpongeza kwa dhati kadinali huyu kuteuliwa kuwa kadinali na Papa wa sasa ndgu fransico .nampongeza Kweli Kweli kwa hatua na nafsi hyo kubwa kwake na taifa hili changa la mwenyenzi mungu ,mungu ametupa .nampongeza mno pia kwa kutokea kwake ktk Jimbo kuu katoliki tabora akiwa awali akiwa askofu mwandamizi wa Jimbo kuu Hilo la taboraView attachment 2683335
Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali
Kwa dhati, nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.
Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.
Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.
Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".
Wote tumwekeni katika maombi.
Angemfanyia dhifa ya kitaifa ktk ikulu ya chamwino ,dodoma na ingependeza piaMagufuli angekuwepo angefurahi sana. Mungu amuweke mahali pema peponi alikuwa na macho ya rohoni
Wacha ukabila, sisi sote ni Watanzania hakuna cha mchaga wala mhaya. Kubwa ni elimu ya dini, maadili na uwezo wa kiuongozi ndizo nguzo za kufika hapo alipofika Protace Cardinal Rugambwa... wachaga wamekosea wapi? Ndio wanaongoza kwa idadi ya maaskofu, mapadre, masista, mashemasi, n.k. Anyway, uamuzi wa Papa ni alfa na omega; wanavyosema wao signature yake ni mwisho.
Sijawahi sikia mnyambo anaitwa Rugambwa kwanza.Je inawezekana Mzungu, Mwarabu, na Mhindi kwao ikawa Tanzania?
Think again!
Ni vizuri amepata u cardinal wake wakati huyo mwendazake amekufa. Mungu alijuwa hilo kwa kuwa kupata nafasi hiyo na Magufuli akiwa hai ingekuwa ni najisi. Yule shetani alilitumia kamisa vibayaMagufuli angekuwepo angefurahi sana. Mungu amuweke mahali pema peponi alikuwa na macho ya rohoni