Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Attachments

  • Screenshot_20230709-235228.jpg
    Screenshot_20230709-235228.jpg
    19.9 KB · Views: 2
Kwahyo Wana kataa siyo muhaya au nn mam Amon

Naomba ufafanuzi

Ni hivi:

1. We don't have a necessary and sufficient definition of "haya tribe" now
2. We don't have a necessary and sufficient definition of "nyambo tribe" now
3. Thus, we don't have a specific difference between the two tribes now
4. In effect, it is a wastage of time to argue about such a topic now
5. What I have said about tribes equally applies to clans and races now
 
Yule Askofu ambae alifanyiwa operation ya kichwa anaendeleaje jamani?

Nasikia ndiye ilikuwa awe mrithi wa Pengo lakini sasa gafla analetwa Huyu?’ ! [emoji848][emoji848]
 
Post zangu iko hapo juu.
Zilizo kwenye simu yako ni zako!
Basi tumuambie mtu mmoja wa hapa aende thread #67 akaangalie...we ni muongo sana, umefanya editing then unajaribu kujustify kuwa hujaedit.

Yaani unafikiri wazungu ni wajinga mpaka wametengeneza Algorithm ya aina hii. Ulidhani kwa ku-edit eti itapotea Ili ujustify Mimi ni muongo.

Muite hata mmoja angalie ile quotation tuone hapa. Muongo mkubwa.
 
... wachaga wamekosea wapi? Ndio wanaongoza kwa idadi ya maaskofu, mapadre, masista, mashemasi, n.k. Anyway, uamuzi wa Papa ni alfa na omega; wanavyosema wao signature yake ni mwisho.
Idadi ya maaskofu ni uongo...wahaya bado ndo maaskofu wengi ukihesabu wote waliokuwepo...
Mapadre napo Bado bukoba ni wengi sana jana tu mapadre 11 wapya wamepadirishwa...

Huko kwa masister na mashemasi sijui...
Ila Bukoba bado ni eneo strong kwa utoaji wa mapadre, maaskofu nk...kumbuka kagera kuna majimbo matatu ya kikatoliki...Bukoba, kayanga na Ngara...

Na bado jimbo la Bukoba litapata askofu mpya soon...
 
Kwao ni bunena hapo bukoba mjini...

Upadre wake ni wa jimbo la kayanga huko karagwe...

Ni sawa na mtu azaliwe njombe akasomee upadre na kuwa padre jimbo la Dar

Naona Kiswahili chako kina shida.
Unaposema "kwao" unamaanisha nini?
Tofautisha haya:

1. Place of birth--Mahali alikozaliwa

2. Place of residence--Mahali anakoishi pamoja na familia yake ya Baba Mama na nduguze

3. Place of ordination--Mahali alikopadirishwa

4. Place of work--Mahali anakofanya kazi au alikofanya kazi
 
Back
Top Bottom