instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,037
- 17,212
Inaonekana una little knowledge about Haya and haya tribe as whole...JUst google!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana una little knowledge about Haya and haya tribe as whole...JUst google!
Inaonekana una little knowledge about Haya and haya tribe as whole...
Ana mke na watoto wangapi?View attachment 2683335
Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali
Kwa dhati, nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.
Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.
Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.
Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".
Wote tumwekeni katika maombi.
From above quote,Kiutawala Rais wa TEC anaratibu ajenda za pamoja kitaifa
Askofu Mkuu anaratibu mambo ya pamoka kikanda
Lkn kila Askofu ni sovereign ktk Jimbo lake
Kardinali akiwa Askofu mkuu anatekeleza majukuu yake kwa ngazi hiyo lkn yeye yuko karibu na Papa ktk masuala fulani fulani yasiyowahusu maaskofu baki
From above quote,
1. Rais wa TEC
2. Askofu mkuu
So hakunaga more seniors huko? You dont answer to nobody since you are a sovereign? Mimi nilifikiri those guys they report to Ruwaichi
Therefore that guy kuwa Cardinal basi Ruwaichi do surrender to the cardinal.
Una maanisha ana connectionAlikuwa Askofu mkuu Tabora sio Karagwe au unaongelea kabila?. Kilichomsaidia sana ni kukaa muda mrefu na kufanya masomo kule vatican. Nilikuwa Vatican wiki mbili tu zilizopita mapadre wa Tanzania ambao wanasoma kule wanamjua na huyu anajulikana sana kule
Kwa maneno ya askofu Kilaini huyu ni mzaliwa wa Nyaishozi KaragweHajazaliwa Karagwe.
Yaani ni tusi kubwa sana kumfananisha Muhaya na Wanyambo. Jiheshimu huyo kazaliwa Bunena, Bukoba mjini Kagera.
Sana hakuna Askofu ambaye anajulikana vatican kama huyu kutoka Tanzania. Lakini tusisahau ni msomi mzuri sana anajua lugha tofauti…… lakini alikuwa na advantage kubwa sana ya connection.Una maanisha ana connection
Ndani ya Kanisa Katoliki Tanzania hakuna Askofu aliyewahi kufanyiwa operesheni ya kihwa
Huo uushi niliusikia na kuufuatilia A to Z
Hadi nilimuuliza mhusika akanambia "wazushi hao"
Labda namba tatu ndo sawa mkuu. Zingine zote zina mushkeli kwani hao watu hasa wakatoliki wana chuki na watu wasiokuwa wao. Unajua kwa nini hawapendi mkristo asieykuwa wao kama Lowassa kuwa Rais?Swali lako ni sawa na kuuliza: Viongozi wa dini wana manufaa gani kwa Taifa?
Na jawabu lake ni hili hapa:
1. Ni wadau muhimu katika ujenzi wa imani ya jamii
2. Ni wadau muhimu katika ujenzi wa jamii ya amani
3. Ni wadau muhimu katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kardinali Protase Rugambwa anahusika katika yote matatu
Vyanzo:
Mosi: https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/w20060901/Dini-Ina-Faida-Gani/
Pili: Nguvu ya dini katika siasa za Tanzania - BBC News Swahili
Tatu: Dignitatis Humanae
Samia amefanya ujinga lazima anyooshwe, kama unaweza msaidie kujibu maswali anayoulizwa..Baada ya Kumpongeza Kardinali...
Uje na thread ingine sasa ya kumshambulia Rais Samia...
It is no surprising...
Una upeo mkubwa saana, hilo zee la uswahilini haliwezi kukuelewa.Ha ha ha...
Huwa sishambulii mtu hata siku moja.
Mara zote natumia kanuni za urazini timamu katika kusanifu, kutetea, na kubomoa hoja, bila kumgusa mleta hoja/wazo.
Hivyo ndivyo wanazuoni tunavyopaswa kuenenda.
Na tayari NEC imeshatoa mwongozo: Tuendelee kutafakari utekelezaji wa vitendo wa ibara ifuatayo katika Ilani ya CCM (2020-2025):
View attachment 2683386
View attachment 2683388
View attachment 2683389
View attachment 2683390
View attachment 2683391
View attachment 2683393
View attachment 2683394
View attachment 2683395
View attachment 2683396
View attachment 2683398
View attachment 2683399
View attachment 2683400
View attachment 2683401
View attachment 2683402
View attachment 2683403
View attachment 2683404
Marekebisho kidogoView attachment 2683335
Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali
Kwa dhati, nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.
Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.
Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.
Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".
Wote tumwekeni katika maombi.
🤣🤣🤣🤣🤣.....Ruwaich ana ubabe gani?Unachanganya watu mbona?
Unaongelea Pengo au Ruwaichi?
Ha ha ha...
Huwa sishambulii mtu hata siku moja.
Mara zote natumia kanuni za urazini timamu katika kusanifu, kutetea, na kubomoa hoja, bila kumgusa mleta hoja/wazo.
Hivyo ndivyo wanazuoni tunavyopaswa kuenenda.
Na tayari NEC imeshatoa mwongozo: Tuendelee kutafakari utekelezaji wa vitendo wa ibara ifuatayo katika Ilani ya CCM (2020-2025):
View attachment 2683386
View attachment 2683388
View attachment 2683389
View attachment 2683390
View attachment 2683391
View attachment 2683393
View attachment 2683394
View attachment 2683395
View attachment 2683396
View attachment 2683398
View attachment 2683399
View attachment 2683400
View attachment 2683401
View attachment 2683402
View attachment 2683403
View attachment 2683404
Labda namba tatu ndo sawa mkuu. Zingine zote zina mushkeli kwani hao watu hasa wakatoliki wana chuki na watu wasiokuwa wao. Unajua kwa nini hawapendi mkristo asieykuwa wao kama Lowassa kuwa Rais?
Haya Yote Hayati Rais Magufuli ageyafanya Kwa Fedha na wataalam wa Ndani.Ha ha ha...
Huwa sishambulii mtu hata siku moja.
Mara zote natumia kanuni za urazini timamu katika kusanifu, kutetea, na kubomoa hoja, bila kumgusa mleta hoja/wazo.
Hivyo ndivyo wanazuoni tunavyopaswa kuenenda.
Na tayari NEC imeshatoa mwongozo: Tuendelee kutafakari utekelezaji wa vitendo wa ibara ifuatayo katika Ilani ya CCM (2020-2025):
View attachment 2683386
View attachment 2683388
View attachment 2683389
View attachment 2683390
View attachment 2683391
View attachment 2683393
View attachment 2683394
View attachment 2683395
View attachment 2683396
View attachment 2683398
View attachment 2683399
View attachment 2683400
View attachment 2683401
View attachment 2683402
View attachment 2683403
View attachment 2683404
Ana mke na watoto wangapi?
Mama Amon, with due respect kubali kwamba kuna misinformations umetoa kwenye thread yako. Mtu mwenye hekima na msomi kama unavyojitanabaisha huwa anakiri kosa na siyo kuonekana “JOAT”. Ingekuwa hekima ungejiridhisha na details zote badala ya kushupaza shingo ili tu uonekane mshindi. Umenishangaza sana!