Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

View attachment 2683335
Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali

Kwa dhati, nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.

Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.

Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.

Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".

Wote tumwekeni katika maombi.
Ana mke na watoto wangapi?
 
Mama Amon, with due respect kubali kwamba kuna misinformations umetoa kwenye thread yako. Mtu mwenye hekima na msomi kama unavyojitanabaisha huwa anakiri kosa na siyo kuonekana “JOAT”. Ingekuwa hekima ungejiridhisha na details zote badala ya kushupaza shingo ili tu uonekane mshindi. Umenishangaza sana!
 
Kiutawala Rais wa TEC anaratibu ajenda za pamoja kitaifa
Askofu Mkuu anaratibu mambo ya pamoka kikanda
Lkn kila Askofu ni sovereign ktk Jimbo lake
Kardinali akiwa Askofu mkuu anatekeleza majukuu yake kwa ngazi hiyo lkn yeye yuko karibu na Papa ktk masuala fulani fulani yasiyowahusu maaskofu baki
From above quote,
1. Rais wa TEC
2. Askofu mkuu

So hakunaga more seniors huko? You dont answer to nobody since you are a sovereign? Mimi nilifikiri those guys they report to Ruwaichi

Therefore that guy kuwa Cardinal basi Ruwaichi do surrender to the cardinal.
 
From above quote,
1. Rais wa TEC
2. Askofu mkuu

So hakunaga more seniors huko? You dont answer to nobody since you are a sovereign? Mimi nilifikiri those guys they report to Ruwaichi

Therefore that guy kuwa Cardinal basi Ruwaichi do surrender to the cardinal.

Hapana Ruwaichi utawala wake unakomea ndani ya jimbo kuu la Dar Es Salaam lakini pia kama Askofu Mkuu kuna majimbo ambayo anakuwa na sauti yaani yale majimbo ambayo yana constitute jimbo kuu la Dar Es Salaam mfano; Zanzibar, Morogoro, Tanga, Mahenge na Ifakara. Full stop
 
Alikuwa Askofu mkuu Tabora sio Karagwe au unaongelea kabila?. Kilichomsaidia sana ni kukaa muda mrefu na kufanya masomo kule vatican. Nilikuwa Vatican wiki mbili tu zilizopita mapadre wa Tanzania ambao wanasoma kule wanamjua na huyu anajulikana sana kule
Una maanisha ana connection
 
Una maanisha ana connection
Sana hakuna Askofu ambaye anajulikana vatican kama huyu kutoka Tanzania. Lakini tusisahau ni msomi mzuri sana anajua lugha tofauti…… lakini alikuwa na advantage kubwa sana ya connection.
 
Ndani ya Kanisa Katoliki Tanzania hakuna Askofu aliyewahi kufanyiwa operesheni ya kihwa

Huo uushi niliusikia na kuufuatilia A to Z

Hadi nilimuuliza mhusika akanambia "wazushi hao"



Kumbe jamani [emoji2297][emoji2357]

Hiyo hila Mwenyezi Mungu ataingilia kati.!
 
Swali lako ni sawa na kuuliza: Viongozi wa dini wana manufaa gani kwa Taifa?

Na jawabu lake ni hili hapa:

1. Ni wadau muhimu katika ujenzi wa imani ya jamii

2. Ni wadau muhimu katika ujenzi wa jamii ya amani

3. Ni wadau muhimu katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kardinali Protase Rugambwa anahusika katika yote matatu

Vyanzo:

Mosi: https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/w20060901/Dini-Ina-Faida-Gani/

Pili: Nguvu ya dini katika siasa za Tanzania - BBC News Swahili

Tatu: Dignitatis Humanae
Labda namba tatu ndo sawa mkuu. Zingine zote zina mushkeli kwani hao watu hasa wakatoliki wana chuki na watu wasiokuwa wao. Unajua kwa nini hawapendi mkristo asieykuwa wao kama Lowassa kuwa Rais?
 
Baada ya Kumpongeza Kardinali...
Uje na thread ingine sasa ya kumshambulia Rais Samia...

It is no surprising...
Samia amefanya ujinga lazima anyooshwe, kama unaweza msaidie kujibu maswali anayoulizwa..

Kadinali Rugambwa anastahili pongezi nyingi sana kabisa kabisa kwa hatua aliyofikia.
 
Ha ha ha...

Huwa sishambulii mtu hata siku moja.

Mara zote natumia kanuni za urazini timamu katika kusanifu, kutetea, na kubomoa hoja, bila kumgusa mleta hoja/wazo.

Hivyo ndivyo wanazuoni tunavyopaswa kuenenda.

Na tayari NEC imeshatoa mwongozo: Tuendelee kutafakari utekelezaji wa vitendo wa ibara ifuatayo katika Ilani ya CCM (2020-2025):

View attachment 2683386

View attachment 2683388

View attachment 2683389

View attachment 2683390

View attachment 2683391

View attachment 2683393

View attachment 2683394

View attachment 2683395

View attachment 2683396

View attachment 2683398

View attachment 2683399

View attachment 2683400

View attachment 2683401

View attachment 2683402

View attachment 2683403

View attachment 2683404
Una upeo mkubwa saana, hilo zee la uswahilini haliwezi kukuelewa.
 
View attachment 2683335
Kardinali Rugambwa akiwa na Rais Kikwete, lakini kabla hajawa Kardinali

Kwa dhati, nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya.

Nawapongeza waumini wa Nyaishozi Karagwe, mkoani Kagera, kwa kumzaa na kulea Kardinali Rugabwa.

Pia nawapongeza wanafunzi wake wote wa Seminari Ndogo ya Katoke, Biharamulo kwa mwalimu wao kuwa Kardinali.

Pia namkaribisha sana Kardinali Rugambwa huku kwetu "Sumbawanga Town".

Wote tumwekeni katika maombi.
Marekebisho kidogo
Huyu ni mdogo wa Rugambwa sr
Na ni wa BUNENA BUKOBA SIYO NYAISHOZI KAMA UNAVYOSEMA
 
Ha ha ha...

Huwa sishambulii mtu hata siku moja.

Mara zote natumia kanuni za urazini timamu katika kusanifu, kutetea, na kubomoa hoja, bila kumgusa mleta hoja/wazo.

Hivyo ndivyo wanazuoni tunavyopaswa kuenenda.

Na tayari NEC imeshatoa mwongozo: Tuendelee kutafakari utekelezaji wa vitendo wa ibara ifuatayo katika Ilani ya CCM (2020-2025):

View attachment 2683386

View attachment 2683388

View attachment 2683389

View attachment 2683390

View attachment 2683391

View attachment 2683393

View attachment 2683394

View attachment 2683395

View attachment 2683396

View attachment 2683398

View attachment 2683399

View attachment 2683400

View attachment 2683401

View attachment 2683402

View attachment 2683403

View attachment 2683404

Vyote tumemuachia DP Wedi aitekeleze ilani yetu. Aiseee.
 
Labda namba tatu ndo sawa mkuu. Zingine zote zina mushkeli kwani hao watu hasa wakatoliki wana chuki na watu wasiokuwa wao. Unajua kwa nini hawapendi mkristo asieykuwa wao kama Lowassa kuwa Rais?

Wewe ndiye huna uelewa sahihi.

Kanisa Katoliki kama taasisi ya kidini linayo mafundisho ya jamii pana kuhusu siasa za nchi yenye jumuiya mseto (plural society) kama iliyo kwa taasisi baki za kidini

Kwa mujibu wa KK kanuni za maadili asilia kuhusu hulka ya ubinadamu ndio kigawe kidogo cha shirika cha mafundisho ya dini zote

Kwa mujibu wa kanuni hii habari ya SASA NI ZAMU YA DINI/MADHEHEBU FULANI ni ujinga mtupu

Kwa hiyo KK halina shida nchi kuongozwa mtu kutoka dini yoyote iliradi awe na busara ya kuzingatia kanuni za maadili asilia kuhusu hulka ya ubinadamu
 
Ha ha ha...

Huwa sishambulii mtu hata siku moja.

Mara zote natumia kanuni za urazini timamu katika kusanifu, kutetea, na kubomoa hoja, bila kumgusa mleta hoja/wazo.

Hivyo ndivyo wanazuoni tunavyopaswa kuenenda.

Na tayari NEC imeshatoa mwongozo: Tuendelee kutafakari utekelezaji wa vitendo wa ibara ifuatayo katika Ilani ya CCM (2020-2025):

View attachment 2683386

View attachment 2683388

View attachment 2683389

View attachment 2683390

View attachment 2683391

View attachment 2683393

View attachment 2683394

View attachment 2683395

View attachment 2683396

View attachment 2683398

View attachment 2683399

View attachment 2683400

View attachment 2683401

View attachment 2683402

View attachment 2683403

View attachment 2683404
Haya Yote Hayati Rais Magufuli ageyafanya Kwa Fedha na wataalam wa Ndani.
Apumzike Kwa Amani.

Hongera Kardinali Rugambwa II
 
Mama Amon, with due respect kubali kwamba kuna misinformations umetoa kwenye thread yako. Mtu mwenye hekima na msomi kama unavyojitanabaisha huwa anakiri kosa na siyo kuonekana “JOAT”. Ingekuwa hekima ungejiridhisha na details zote badala ya kushupaza shingo ili tu uonekane mshindi. Umenishangaza sana!

Unaongelea post ipi mkuu?
 
Back
Top Bottom