Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Nilimuuliza yeye mwenyewe swali hilo miaka mitano iliyopita. Akajibu kwamba hana undugu na Kardinali Laureano Rugambwa. Isipokuwa baba yake walikuwa marafiki wa karibu sana na marehemu Kardinali Laureano Rugambwa. Wakati marehemu anatawazwa kuwa Kardinali mjini Dar es Salaam mwaka 1960, baba wa Protase Rugambwa alisafiri kutoka Kagera kuja Dar kuhudhuria sherehe hiyo, akimwacha mama yake Protase hospitali akingojea kujifungua. Akaahidi kwamba kama mtoto atakuwa mwanaume atamwita Rugambwa na atafanya juu chini mpaka naye awe Kardinali kama Laureano. Hayo ndiyo yametimia.
Kama ni kweli basi Mungu ambariki sana, pamoja wazazi wake.
 
Wahaya waahajiweka kwa cardinal Rugambwa kwamba mhaya wa Bukoba
Sio kweli
Cardinal Rugambwa ni mnyambo wa Karagwe
Wahaya tulia kagera hawatoki wahaya tu
Kardinali Rugambwa kazaliwa bunena hapo bukoba mjini...na shule kasomea hapo bukoba mjini...

Kuhusu kuwa mnyambo sijui mhaya hayo hayana maana hapa...wanyambo ni wahaya kama wahaya wengine...kama unabisha toa tofauti kati ya haya and nyambo
 
Lugha za KIbantu zina makundi.
Hizi hapa zinaingiliana na kusikilizana;

Kihaya
Kinyambo
Kiizinza
Kikara
Kisubi

Kote huko kuna kina Rugambwa wengi tu
Hapana aisee....
Wahaya, wanyambo na wanyankole ndo wanaingiliana kila kitu hadi lugha na majina..

Hayo mengine sio

Ushawahi ona mzinza anaitwa Kaijage?
Rugambwa ni jina specific la kihaya
 
Kardinali Rugambwa kazaliwa bunena hapo bukoba mjini...na shule kasomea hapo bukoba mjini...

Kuhusu kuwa mnyambo sijui mhaya hayo hayana maana hapa...wanyambo ni wahaya kama wahaya wengine...kama unabisha toa tofauti kati ya haya and nyambo

Zingatia:

1. Dhana ya kabila, ukoo au mbari inabadilika kutoka majira hadi majira. Maana Machifu hakuna leo, teritoria za kikabila hakuna tena, mila na desturi zimeyeyuka. Kilichobaki ni historia

2. Leo ukisema "wanyambo ni watu chini ya chifu X katika eneo Y" au "wahaya ni watu chini ya chifu V katika eneo W" unakuwa unachanganya "tenses".

3. Usahihi ni huu: "wanyambo walikuwa ni watu chini ya chifu X katika eneo Y" au "wahaya walikuwa ni watu chini ya chifu V katika eneo W."

4. Wahaya hawakuwa wanyambo na wanyambo hawakuwa wahaya

5. Kwa sasa tunao raia wa Tanzania. Life made easy!
 
Hapana aisee....
Wahaya, wanyambo na wanyankole ndo wanaingiliana kila kitu hadi lugha na majina..

Hayo mengine sio

Ushawahi ona mzinza anaitwa Kaijage?
Rugambwa ni jina specific la kihaya
Nimesoma na mtu anaitwa Ferdinand Rugambwa ni mzinza
 
Cardinal Pengo ametumia mabavu sana kuliongoza hili jambo. Kumbe kila kitu cha wanadamu kina muda na wakati.
Nilitegemea Askofu Mkuu Ruwaichi awe Cardinal anayefuata.
Kumbe Mwenyezi Mungu ana mipango tofauti.
Ubabe na uongo hauna nafasi katika kazi y Mwenyezi

Unachanganya watu mbona?
Unaongelea Pengo au Ruwaichi?
 
Naona Kiswahili chako kina shida.
Unaposema "kwao" unamaanisha nini?
Tofautisha haya:

1. Place of birth--Mahali alikozaliwa

2. Place of residence--Mahali anakoishi pamoja na familia yake ya Baba Mama na nduguze

3. Place of ordination--Mahali alikopadirishwa

4. Place of work--Mahali anakofanya kazi au alikofanya kazi
Place of birth and his origin and identity...hivi vyote ni Bukoba...

Hayo mengi ndo huko karagwe na kwingineko
 
Mama Amon naomba kujua...
Huko RC in Tz who is topper ?
I mean hierarchical mkubwa sana ni nani kwa TZ atleast 3 top guys maana nina confuse ruwaichi and the guys

Kiutawala Rais wa TEC anaratibu ajenda za pamoja kitaifa
Askofu Mkuu anaratibu mambo ya pamoka kikanda
Lkn kila Askofu ni sovereign ktk Jimbo lake
Kardinali akiwa Askofu mkuu anatekeleza majukuu yake kwa ngazi hiyo lkn yeye yuko karibu na Papa ktk masuala fulani fulani yasiyowahusu maaskofu baki
 
Zingatia:

1. Dhana ya kabila, ukoo au bari inabadilika kutoka majira hadi majira. Maana Machifu wao hakuna, teritoria zao hakuna tena, mila na desturi zizeyeyuka. Kilichobaki ni historia

2. Leo ukisema "wanyambo ni watu chini ya chifu X katika eneo Y" au "wahaya ni watu chini ya chifu V katika eneo W" unakuwa unachanganya "tenses".

3. Usahihi ni huu: "wanyambo walikuwa ni watu chini ya chifu X katika eneo Y" au "wahaya walikuwa ni watu chini ya chifu V katika eneo W."

4. Wahaya hawakuwa wanyambo na wanyambo hawakuwa wahaya

5. Kwa sasa tunao raia wa Tanzania
Wahaya walikuwa na chifu gani hebu tuanzie hapa kwanza..
Mimi sijawahi ona chief au Omukama wa wahaya as whole...

Ukielewa hapa utatofautisha kati ya wahaya etc na kujua unakosea wap
 
Back
Top Bottom