Nampongeza dada huyu kwa jinsi alivyochagua mume wa kumuoa na kumuacha mchumba wake wa zamani

Nampongeza dada huyu kwa jinsi alivyochagua mume wa kumuoa na kumuacha mchumba wake wa zamani

MUYOOL

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
561
Reaction score
445
Habari wana JF,

Hii ilitokea wakati tukiwa chuoni wakati dada akiwa First year alikuwa na mchumba wake (mtanashati) ambaye alikuwa ndiyo kamaliza chuo na kupata kazi Dsm kwa hiyo alikuwa na fedha kiasi.Nilikuwa nikimsikia mdada akilalamika kwamba kijana haonyeshi kumjali kwani hampigii simu mara kwa mara ingawa yeye amekuwa akifanya hivyo.Kuna siku aliniuliza kama nimekariri kichwani namba ya mchumba wangu nikamwambia ndiyo na nikamtajia jambo lile lilitokea kumvutia sana na akasema mchumba wake hajaiweka namba yake kichwani hivyo akawa anahisi inawezekana hampendi kwa uhakika au inawezekana akawa na watu wengi anaowajali kimapenzi zaidi yake.


Alipofika mwaka wa pili kuna kaka mmoja ambaye alikuwa akisoma nae course moja alikuwa akionyesha kumjali kwa maongezi, kumsaidia kimasomo ingawa hata dada nae alikuwa kichwa darasani.Tatizo la huyu kaka alikuwa mpolipoli kwa kuwa alikuwa akitegemea boom (Government Allowance) pekee kwa kujikimu kimaisha Chuoni hivyo uvaaji wake ulikuwa hafifu hasa kwa wadada wanaopapatikia masharobaro.Upendo aliokuwa akionyesha yule kaka kwa mdada taratibu dada wa watu akaanza kuhamisha moyo wake kutoka kwa mtanashati kwenda kwa mpolipoli.

Hatimaye dada akaamua kumuacha mchumba wake waziwazi na watu wote tukajua ingawa wengine walimshangaa.Lakini akaamua kumchagua mpolipoli bila watu wengine kujua na kwa kuwa dada alikuwa ni mrembo kulinganisha na personality ya jamaa kwa muda ule hivyo hakuwashirikisha watu ktk uamuzi wake kwa kuhofia kukatishwa tamaa na watu wake wa karibu
hata mimi nilikuja kujua ndoa inakaribia kufungwa baada ya yeye kunitaarifu ili nikampe company.Ndoa ilifungwa na kupendeza sana ingawa kati ya watu zaidi 100 ambao walikuwa karibu na yule dada walipata taarifa baada ya harusi ila mimi na wenzangu watano tuliwawakilisha.

Baada ya kumaliza chuo ndoa ilifungwa na mpaka sasa dada ni Afisa utumishi na mkaka ni mhadhiri wa Chuo Kikuu na baada ya kupata kazi upolipoli uliisha na utanashati ukaibuka mpaka sasa ndoa yao ina miaka kumi na wanaishi kwa raha na amani.






 
Dot com generation hatupendi hadithi hadithi tunataka vitendo,,, mambo ya upori pori sijui uhadhiri peleka kijijini.. Mjini pesa tabia kijijini...

Let's me get ready for sweet 16.. Can't wait to see Gators advance to final four
 
Habari wana JF,

Hii ilitokea wakati tukiwa chuoni wakati dada akiwa First year alikuwa na mchumba wake (mtanashati) ambaye alikuwa ndiyo kamaliza chuo na kupata kazi Dsm kwa hiyo alikuwa na fedha kiasi.Nilikuwa nikimsikia mdada akilalamika kwamba kijana haonyeshi kumjali kwani hampigii simu mara kwa mara ingawa yeye amekuwa akifanya hivyo.Kuna siku aliniuliza kama nimekariri kichwani namba ya mchumba wangu nikamwambia ndiyo na nikamtajia jambo lile lilitokea kumvutia sana na akasema mchumba wake hajaiweka namba yake kichwani hivyo akawa anahisi inawezekana hampendi kwa uhakika au inawezekana akawa na watu wengi anaowajali kimapenzi zaidi yake.


Alipofika mwaka wa pili kuna kaka mmoja ambaye alikuwa akisoma nae course moja alikuwa akionyesha kumjali kwa maongezi, kumsaidia kimasomo ingawa hata dada nae alikuwa kichwa darasani.Tatizo la huyu kaka alikuwa mpolipoli kwa kuwa alikuwa akitegemea boom (Government Allowance) pekee kwa kujikimu kimaisha Chuoni hivyo uvaaji wake ulikuwa hafifu hasa kwa wadada wanaopapatikia masharobaro.Upendo aliokuwa akionyesha yule kaka kwa mdada taratibu dada wa watu akaanza kuhamisha moyo wake kutoka kwa mtanashati kwenda kwa mpolipoli.

Hatimaye dada akaamua kumuacha mchumba wake waziwazi na watu wote tukajua ingawa wengine walimshangaa.Lakini akaamua kumchagua mpolipoli bila watu wengine kujua na kwa kuwa dada alikuwa ni mrembo kulinganisha na personality ya jamaa kwa muda ule hivyo hakuwashirikisha watu ktk uamuzi wake kwa kuhofia kukatishwa tamaa na watu wake wa karibu
hata mimi nilikuja kujua ndoa inakaribia kufungwa baada ya yeye kunitaarifu ili nikampe company.Ndoa ilifungwa na kupendeza sana ingawa kati ya watu zaidi 100 ambao walikuwa karibu na yule dada walipata taarifa baada ya harusi ila mimi na wenzangu watano tuliwawakilisha.

Baada ya kumaliza chuo ndoa ilifungwa na mpaka sasa dada ni Afisa utumishi na mkaka ni mhadhiri wa Chuo Kikuu na baada ya kupata kazi upolipoli uliisha na utanashati ukaibuka mpaka sasa ndoa yao ina miaka kumi na wanaishi kwa raha na amani.







Wapolipoli Oyeeeee
 
Every thing is fair in love and war.............
 
Habari wana JF,

Hii ilitokea wakati tukiwa chuoni wakati dada akiwa First year alikuwa na mchumba wake (mtanashati) ambaye alikuwa ndiyo kamaliza chuo na kupata kazi Dsm kwa hiyo alikuwa na fedha kiasi.Nilikuwa nikimsikia mdada akilalamika kwamba kijana haonyeshi kumjali kwani hampigii simu mara kwa mara ingawa yeye amekuwa akifanya hivyo.Kuna siku aliniuliza kama nimekariri kichwani namba ya mchumba wangu nikamwambia ndiyo na nikamtajia jambo lile lilitokea kumvutia sana na akasema mchumba wake hajaiweka namba yake kichwani hivyo akawa anahisi inawezekana hampendi kwa uhakika au inawezekana akawa na watu wengi anaowajali kimapenzi zaidi yake.


Alipofika mwaka wa pili kuna kaka mmoja ambaye alikuwa akisoma nae course moja alikuwa akionyesha kumjali kwa maongezi, kumsaidia kimasomo ingawa hata dada nae alikuwa kichwa darasani.Tatizo la huyu kaka alikuwa mpolipoli kwa kuwa alikuwa akitegemea boom (Government Allowance) pekee kwa kujikimu kimaisha Chuoni hivyo uvaaji wake ulikuwa hafifu hasa kwa wadada wanaopapatikia masharobaro.Upendo aliokuwa akionyesha yule kaka kwa mdada taratibu dada wa watu akaanza kuhamisha moyo wake kutoka kwa mtanashati kwenda kwa mpolipoli.

Hatimaye dada akaamua kumuacha mchumba wake waziwazi na watu wote tukajua ingawa wengine walimshangaa.Lakini akaamua kumchagua mpolipoli bila watu wengine kujua na kwa kuwa dada alikuwa ni mrembo kulinganisha na personality ya jamaa kwa muda ule hivyo hakuwashirikisha watu ktk uamuzi wake kwa kuhofia kukatishwa tamaa na watu wake wa karibu
hata mimi nilikuja kujua ndoa inakaribia kufungwa baada ya yeye kunitaarifu ili nikampe company.Ndoa ilifungwa na kupendeza sana ingawa kati ya watu zaidi 100 ambao walikuwa karibu na yule dada walipata taarifa baada ya harusi ila mimi na wenzangu watano tuliwawakilisha.

Baada ya kumaliza chuo ndoa ilifungwa na mpaka sasa dada ni Afisa utumishi na mkaka ni mhadhiri wa Chuo Kikuu na baada ya kupata kazi upolipoli uliisha na utanashati ukaibuka mpaka sasa ndoa yao ina miaka kumi na wanaishi kwa raha na amani.







Mpolipoli ndo wewe...!!!
 
Big up kwa uhamuzi wa busara coz mapenz sio pesa wala utanashati. Pesa na utanashat/urembo vitakuja kama wapendanao watajishughulisha
 
Shigongo wewe ni kiboko kwa kweli bongo nzima hakuna anayekufikia!! Vipi utaitengenezea movie?
 
Kwa miaka kumi iliyopita hilo liliwezekana japo ni ukweli usiopingika kwamba hivi sasa mambo yamezidi kuwa magumu kwa cc waporipori. hawa wadada wa chuo ni wachache sana wenye ujasiri wa kurisik kumuacha muwekezaji, handsome tena wa dar mwenye kazi.

hili liwe somo kwao japo utekelezaji wake ni mgumu. wakina dada jueni yule aliewajalia hao wenye pesa ndo anaetuandalia waporipori.
 
Huyo dada aliwekeza kwa kuona kwanza jamaa ni kichwa ,aliona jamaa atakuwa na maisha mazuri baadaye kwa kifupi dada alikuwa twiga aliona mbali wakari wengine wanaona pale kwenye kamba yake
 
Swali jingine:
Mbona hatujasimuliwa huyo aliyepewa label ya Usharobaro yu wapi?

Swali:

Kwanini huyu dada alifanya siri hivyo uhusiano wao? wasn't she proud of the mpori pori?
 
Unauliza jibu mkuu??

Sikujua mkuu wangu wa kazi, bora nimemjua nimtumie picha langu alitoe hewani manake nyie wabongo nikitoa mie hamuwi attention,namuuzia stori atoe yeye mnayemkubali nipige mkwanja ninunue hata baiskeli,manake huku kwetu milimani ukiwa hata na baiskeli unapewa mke kabisaa
 
Back
Top Bottom