Nampongeza dada huyu kwa jinsi alivyochagua mume wa kumuoa na kumuacha mchumba wake wa zamani

Kipolipoli ndio nini? unamaanisha mtu wa porini?
Wanawake wenye akili timamu hawapendagi masharobaro or watanashati, ila wanawake mapepe ndio wanabase kwa dizain hiyo ya wanaume.
 
Swali:

Kwanini huyu dada alifanya siri hivyo uhusiano wao? wasn't she proud of the mpori pori?

Alikuwa proud na jamaa na ndiyo maana aliolewa naye na kwa kuwa wazazi wa binti nao walikuwa wasomi walimkubali yule kijana kwa mikono miwili.Dhehebu alilokuwa anasali yule dada ambalo ni tofauti na la wazazi wake lilikuwa na complications sana hivyo kama angeweka mambo hadharani mapema na kukaa kwa muda mrefu amini angekuwa discouraged kuanzia kwa viongozi wa kidini hadi kwa wanachuo wenzake maana kwa muda ule mdada alikuwa anaonekana tofauti kidogo compared to mpolipoli Pia watu wengi wana tabia ya ku judge the book by looking its cover.Moyoni alikuwa anajua mara baada ya jamaa kumaliza chuo na kupata kazi mambo yangebadilika hasa kimavazi.
 
Hongera zao, Jambo la muhimu katika maisha ya yoyote yale ni kujitambua, mtu anatakiwa kujitathmini kuwa anapenda kuwa na mtu wa aina gani, anafurahishwa na kitu gani katika mapenzi na anategemea kuishi maisha gani katika ndoa kisha chukua hatua madhubuti for your own happiness. Kama umesema naye mara kadhaa hakuelewi wala habadiliki na wewe unaona hamshabiiani bora muachane ili kila mmoja atafute wa kufanana naye na hii ndiyo furaha ya mapenzi na ndoa kwa ujumla.
 
Mvumilivu hula mbivu...Dada alivumilia kwa "mpoli mpoli" baada ya kumuona ana mapenzi ya kweli kwake ukilinganisha na yule mtanashati ambaye hata namba ya mrembo alikuwa haikumbuki kwa kichwa sasa wanakula maisha kwa raha zao.



hadithi hii inatufundisha nini...?
 
Last edited by a moderator:
Hii
 
Dot com generation hatupendi hadithi hadithi tunataka vitendo,,, mambo ya upori pori sijui uhadhiri peleka kijijini.. Mjini pesa tabia kijijini...

Let's me get ready for sweet 16.. Can't wait to see Gators advance to final four
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…