J wizzy
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 459
- 536
Kwanini mnapendaga sana kuwa manabii kwenye vitu ambavyo ni probability? Kwanini msiache watu wafanye kazi ndio mje mtoe mawazo yenu badala ya kudraw conclusion kwa kitu ambacho bado hakijafanyika?Hakika sasa hivi tujiandae kama taifa kuingizwa kwenye kashfa kubwa za uonevu na ubaguzi mkubwa
N.B; people and things are always dynamic not static at all [emoji124][emoji124][emoji124]