Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Kipekee kabisa Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.
Una moyo wa kipekee sana, sina shaka ndiomana una marafiki wa dini zote hapa nchini na ulimwenguni, nafuatilia matukio yako na kazi zako zote za utumishi na wema wako kwa watu mbalimbali.
Nimewiwa kukupa pongezi za dhati kwa tunu ya pekee ya kukubalika na mashekhe toka DSM waliokuja Arusha kukupa nguvu na kukutia moyo.
Usiogope tupo pamoja nawe katika hali zote. Kipekee pia nikupongeze kwa kuwa mwenye utii wa mamlaka za nchi na serikali tukufu. Panapo Majaliwa inshallah nitakuja Arusha kutoa ushuhuda wa namna unavyotuweka karibu na Mungu na matokeo chanya mimi nikiwa mfano wa kuigwa.
Ndimi kondoo wako mdau wa jamii forums.
wadiz
Email: shazwadiz@gmail.com
Una moyo wa kipekee sana, sina shaka ndiomana una marafiki wa dini zote hapa nchini na ulimwenguni, nafuatilia matukio yako na kazi zako zote za utumishi na wema wako kwa watu mbalimbali.
Nimewiwa kukupa pongezi za dhati kwa tunu ya pekee ya kukubalika na mashekhe toka DSM waliokuja Arusha kukupa nguvu na kukutia moyo.
Usiogope tupo pamoja nawe katika hali zote. Kipekee pia nikupongeze kwa kuwa mwenye utii wa mamlaka za nchi na serikali tukufu. Panapo Majaliwa inshallah nitakuja Arusha kutoa ushuhuda wa namna unavyotuweka karibu na Mungu na matokeo chanya mimi nikiwa mfano wa kuigwa.
Ndimi kondoo wako mdau wa jamii forums.
wadiz
Email: shazwadiz@gmail.com