Nampongeza Nabii Geordavie kwa kazi yake iliyotukuka

Wakati pale kuna mmja anaitwa mussa embe alikuwaga mwenyekiti wa serikali ya mtaa kinondoni
Hana cha usheh wala nini
Wasaka Tonge tu,nchi hii ina wajng wengi sana

Ova
Ni uhuru hawajavunja taratibu za nchi
 
Wakati pale kuna mmja anaitwa mussa embe alikuwaga mwenyekiti wa serikali ya mtaa kinondoni
Hana cha usheh wala nini
Wasaka Tonge tu,nchi hii ina wajng wengi sana

Ova
Nilipenda kutajiwa tu
Yupi ni Sheikh kwa hapa Bongo?!
 
Unasifia Ujinga.Kwanza wale siyo Masheikh na mbaya zaidi si Waislam,wamenunuliwa kanzu na kofia kuhadaa umma,kwamba ni waislamu,hakuna muislam wa kweli kuja kudhihaki Dini yake kuja kumsifia kafiri anayekula wake za watu.
Wamelamba asali..hata wewe una price tag yako ikifikiwa tu..unaweza kana hiyo imani yako ya mungu wa kiarabu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu siku hizi chawa na wajinga ndio wana maisha sana...wanasukuma ndinga kali kuliko wewe mwerevu[emoji28][emoji28][emoji28]
Bwana ehhh

Kazi kweri kweri

Ova
 
Tafadhali mtambulishe vizuri. Anaitwa Baba, Mheshimiwa, Nabii Mkuu, Dr. Joe Davie
 
Mkuu siku hizi chawa na wajinga ndio wana maisha sana...wanasukuma ndinga kali kuliko wewe mwerevu[emoji28][emoji28][emoji28]
Wale masheh wa mchongo walienda kumpiga mpigaji [emoji1]
Hapo wapigaji kwa wapigaji walikutana

Ova
 
Unasifia Ujinga.Kwanza wale siyo Masheikh na mbaya zaidi si Waislam,wamenunuliwa kanzu na kofia kuhadaa umma,kwamba ni waislamu,hakuna muislam wa kweli kuja kudhihaki Dini yake kuja kumsifia kafiri anayekula wake za watu.
Period
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…