Wasenge hao, hamna loloteCCM na wachumia tumbo wa serikalini wameamua kuwadhalilisha - kuwapa chief mwanamke na ambaye si wajamii yenu 'kabila lenu'
Kupewa kiongozi wa kimila ambaye si wa jamii yako ni kama kuwa utumwani
Wewe ni nani wa kuwabishia MACHIFU WA MAKABILA ZAIDI YA 100 WA TAIFA HILI?!!!Ati Chifu wa Tanzania nzima! stupid
Yaani Mmasai, Mkurya, Mhaya, Mgogo, Mnyakyusa, nk aongozwe na mtu (chief) ambaye si wakabila lake!?! what a joke
Kila kabila chief ni wa kabila husika
Huyo bibi atakuwa chief wa kule kwao makunduchi (Zanzibar)
Punguza ukali wa maneno muraaa!Wasenge hao, hamna lolote
Utakufa utauacha uchawi.....Chief ni mtu aliyeua watu wengi sana kichawi
Mwami Tereza Ntare.....Hatujawahi kuwa na chifu wa kike, mimi ni msukuma mwenye asili ya ujita ila sijawahi kuona mwanamke akawa kiongozi.
Na wewe uwe makini kwenye baadhi ya maneno yako, maana yanaleta ukakasi kwa Chifu! Sema "Chifu Mkuu Hangaya ameshasimikwa"Punguza ukali wa maneno muraaa!
Chifu Mkuu Hangaya ameshatawazwa......💪👍
#SiempreChifuMkuuHangaya
#NchiKwanza
Baba wa taifa mwalimu Julius Kambalage Nyerere yeye baada ya kupata uhuru alifuta uchifu hapa Tanganyika na Zanzibar lakini leo mama anarudisa historia ya utawala wa kiasili wa babu zetu.
Chifudom na kingdom ndiyo walikuwa viongozi wa siasa hapa Tanganyika na Afrika kwa tendo hili mimi nampa biG apu mama kwa kuonyesha kuwa anauwelewa mkubwa kwani kama ujui ulikotoka uwezi kujua unakokwenda.
Kuwakubali machifu ni kuenzi mila na tamaduni zetu za kiafrika hivyo mama amefanya jambo kubwa na la kihistoria, Machif walisimamia mambo yote kabla ya kuja wageni kutoka Ulapa na Arabia yakiwemo ya kijamii kama mdoa, vyakula, ibada, maombi, heshima, uzalendo, dawa na mengine mengi.
Na sayantifiki profu kuwa babu zetu walikuwa na Mungu nyuma 1900 kurudi nyuma babu zetu waliishi miaka ya kawaida 150 kuendelea.
🤣🤣👍Na wewe uwe makini kwenye baadhi ya maneno yako, maana yanaleta ukakasi kwa Chifu! Sema "Chifu Mkuu Hangaya ameshasimikwa"
Mwami Tereza Ntare.....
Kigoma moja hiyooooooo......
#SiempreChifuMkuuHangaya
😲🤣🤣Pamoja na kuwa hata kama angeitwa Mh. Mungu haisaidii si haba basi mkafanya japo vinutafiti kidogo?
Mwami = Mfalme.
Unamaana Kigoma waliwahi kuwa na Mfalme kwa jina la Tereza Ntare?!
Habari za kubumba bumba namna hii zisizokuwa na kichwa wala miguu si mngekuwa mnabaki nazo huko Chatto na sana sana Makunduchi?
Huku tuko busy kuhamasisha watu wapate J&J na kudai katiba mpya.
Ya Mfalme mama na sisi wapi na wapi?
Hayo ni mambo ceremonial tu. Marais wote wamepewa uchifu huo ceremonial, lakini Tanzania haitambui uchifu wala cheo kama hicho cha kurithi. Kwa sababu Tanzania kimsingi bado ni Jamhuri inayoamini katika usawa wa watu, na ukikubali uchifu umekubali kwamba kuna koo fulani zimefaa kutawala nyingine.Baba wa taifa mwalimu Julius Kambalage Nyerere yeye baada ya kupata uhuru alifuta uchifu hapa Tanganyika na Zanzibar lakini leo mama anarudisa historia ya utawala wa kiasili wa babu zetu.
Chifudom na kingdom ndiyo walikuwa viongozi wa siasa hapa Tanganyika na Afrika kwa tendo hili mimi nampa biG apu mama kwa kuonyesha kuwa anauwelewa mkubwa kwani kama ujui ulikotoka uwezi kujua unakokwenda.
Kuwakubali machifu ni kuenzi mila na tamaduni zetu za kiafrika hivyo mama amefanya jambo kubwa na la kihistoria, Machif walisimamia mambo yote kabla ya kuja wageni kutoka Ulapa na Arabia yakiwemo ya kijamii kama mdoa, vyakula, ibada, maombi, heshima, uzalendo, dawa na mengine mengi.
Na sayantifiki profu kuwa babu zetu walikuwa na Mungu nyuma 1900 kurudi nyuma babu zetu waliishi miaka ya kawaida 150 kuendelea.
😲🤣🤣
Karibu urojo mkuu Brazaj.....
Nawe unajichanganya ..
Uchifu unaendana na MILIKI NA UFALME.....
Kwani MALKIA ELIZABETH wa UK ni kwa kuwa hayati mumewe alikuwa mtawala mfalme ama yeye mwenyewe ndiye mtawala?!!!
Hizo ni lugha tu bwasheee🤣
#SiempreChifuMkuuHangaya
🤣🤣Kwamba - King Elizabeth siyo?
Hata akiitwa Mh. Mungu kwani kuna taabu?
Hudhani tujikite zaidi kwenye hamasa zikiwamo za J&J?
Hayo ni mambo ceremonial tu. Marais wote wamepewa uchifu huo ceremonial, lakini Tanzania haitambui uchifu wala cheo kama hicho cha kurithi. Kwa sababu Tanzania kimsingi bado ni Jamhuri inayoamini katika usawa wa watu, na ukikubali uchifu umekubali kwamba kuna koo fulani zimefaa kutawala nyingine.
Exquisite 😍This has been taken to the next level. No other president was installed as Tanzania’s paramount chief. Wengine walikuwa wakipewa uchifu kwenye maeneo waliyotembelea! Nadhani ile function aliyohudhuria ndiyo iliyompa hiyo opportunity.
Mataga utatagaHatujawahi kuwa na chifu wa kike, mimi ni msukuma mwenye asili ya ujita ila sijawahi kuona mwanamke akawa kiongozi.
😀😀😀😀😀Katika tamaduni za uchifu sijawahi ona wala kusikia chifu mwanamke. Huyu mama naona mnapeleka peleka tu ilimradi siku ziende.