FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Rihanna amekuwa akifanya hichi kitu kwa muda mrefu sana sasa nchini Malawi..Just a publicity stunt,nothing much to red here.
Publicity stunt akaitafutie Malawi.. yaani aruke kutoka LA mpaka Malawi kutafuta umaarufu.. Grow up people!
Wenzetu wamelelewa wakijua kusaidia wengine ni kufungua milango yako ya baraka..