Namsaport Lady JAY dee 100% "MOYO KIZA KINENE HUWEZI KUJUA...."

Namsaport Lady JAY dee 100% "MOYO KIZA KINENE HUWEZI KUJUA...."

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
Asalam alleikhum waungwana !

Jamani naileta kwenu hii ,Jamaa mmoja mtumishi wa umma hapa Kigoma ameishi na mkewe kwa mapenzi mazito kwa muda wa miaka 20 wamebahatika kupata 4 children sasa ishu imekuja kulipuka hivi karibuni ,mama alipandwa na malaria ya kichwa akawa anasema watoto wote si wa jamaa ni wa true love wake wa o level yuko morogoro pia ana akaunti ya siri benki moja (jina kapuni) alipopona mkewe jamaa fasta kaenda benki kakuta ni kweli ana abt 25 mil ,na kuhusu morogoro huyu mama hujifanya ana mambo ya kuuza vinyago na ana safari nyingi moro,jamaa kaenda kupima ni kweli watoto wote si wake.sasa mimi THE ONLY nakubali MOYO WA MTU MSITU huwezi kuujua ni kumwomba mungu tu,Jamaa amekuwa mlevi sugu japo nduguze wana jitahidi kumfariji ,mwanamke kakimbia,kamwalibia maisha kaka wa watu kuanzisha familia mpya mchezo at age of 40's.

Jamani sasa sjui tunafanyeje kuepuka haya.
 
Mmmmmhhhhh,
Kweli MOYO WA MTU NI NYIKA,
Kwa nini? huyo mwanamke hakumzalia hata mtoto 1
huyo mwanaume?
Au mwanaume hana kizazi?????
Ndio sababu ya kumfanya mwanamke apate watoto sehemu
nyingine??.
 
40s hajachelawa sana mwambie apunguze/aache ulevi.


Asalam alleikhum waungwana !

Jamani naileta kwenu hii ,Jamaa mmoja mtumishi wa umma hapa Kigoma ameishi na mkewe kwa mapenzi mazito kwa muda wa miaka 20 wamebahatika kupata 4 children sasa ishu imekuja kulipuka hivi karibuni ,mama alipandwa na malaria ya kichwa akawa anasema watoto wote si wa jamaa ni wa true love wake wa o level yuko morogoro pia ana akaunti ya siri benki moja (jina kapuni) alipopona mkewe jamaa fasta kaenda benki kakuta ni kweli ana abt 25 mil ,na kuhusu morogoro huyu mama hujifanya ana mambo ya kuuza vinyago na ana safari nyingi moro,jamaa kaenda kupima ni kweli watoto wote si wake.sasa mimi THE ONLY nakubali MOYO WA MTU MSITU huwezi kuujua ni kumwomba mungu tu,Jamaa amekuwa mlevi sugu japo nduguze wana jitahidi kumfariji ,mwanamke kakimbia,kamwalibia maisha kaka wa watu kuanzisha familia mpya mchezo at age of 40's.

Jamani sasa sjui tunafanyeje kuepuka haya.
 
ishu ni kua biological father au? mwambieni jamaa aache ushamba, hao watoto ni wake kwani yeye ndio kawa babayao tangu wakiwa tumboni mwa mama yao.. mpaka hapo walipo, to be a father is more that giving ur sperms!
 
ishu ni kua biological father au? mwambieni jamaa aache ushamba, hao watoto ni wake kwani yeye ndio kawa babayao tangu wakiwa tumboni mwa mama yao.. mpaka hapo walipo, to be a father is more that giving ur sperms!

Kaka unasema tu kwa vile hayajakukuta!

Temea mate chini ndugu yangu
 
Dah kweli amemfanyia unafiki mbaya mimi nikisema nachukia mapenzi huwa mna-niimindi hapa kuna watu wana mioyo mibaya na ya kishetani balaaa unapoingia nae kwenye mahusiano/uchumba/ndoa mwisho wa siku anauacha moyo wako kwenye msala/machungu/mfadhaiko /msinyao usio na mfano.

Ingekuwa heri kama mungu angeweka kitu umpasue mtu moyoni uone kama kuna ukweli kabla hujamuweka moyoni na kussetle nae mpe pole sana mwambie anitafute
 
Kwanza yafaa tujiulize,hivi inawezekanaje miaka yote hiyo mwanaume anaishi na mkewe na asiweze kupata hata mtoto mmoja wakati anaishi na mkewe zaidi kuliko huyo true love?
Ukiangalia kwa undani inawezekana kabisa mwanaume huyu hana uwezo wa kuzaa na ndio sababu ya mwanamke kupata watoto kwa mwanaume mwingine,hapa naona tatizo kubwa lipo kwa wanaume wengi ambao huwa hawapendi kwenda kupima na kujua kama wana uwezo wa kuzalisha mbegu za uzazi.
Kwa kuwa yamekwishatokea kinachofuata hapo ni kumuomba Mungu tu kwani hakuna anayejua maisha waliyokuwa wanaishi kabla ya tukio hilo na hapa tuna mwisho wake tu ila mwanzo wake hatuujui.
 
Hao watoto ni wake! period!

Yaani hapo mwanamke asepe tu lakini watoto sitakaa niwaache.........................ila wakifikisha umri wa kuwa watu wazima nitaweleza ukweli wao wenyewe waamue!

Dah aisee kweli hujafa hujaumbika..............msisem hivyo; sasa kama mama alitumia kinga muda wote akiwa na mume na anategesha mimba wakati hana kinga akiwa kwa jamaa wa pembeni......................hivi Mume wa halali hawezi kuanzisha kesi hapo akadai kisheria atambulike kuwa ni baba halali na kuwadai fidia hao washenzi..................hizo 25 m ziwe kifuta machozi!
 
Asalam alleikhum waungwana !

Jamani naileta kwenu hii ,Jamaa mmoja mtumishi wa umma hapa Kigoma ameishi na mkewe kwa mapenzi mazito kwa muda wa miaka 20 wamebahatika kupata 4 children sasa ishu imekuja kulipuka hivi karibuni ,mama alipandwa na malaria ya kichwa akawa anasema watoto wote si wa jamaa ni wa true love wake wa o level yuko morogoro pia ana akaunti ya siri benki moja (jina kapuni) alipopona mkewe jamaa fasta kaenda benki kakuta ni kweli ana abt 25 mil ,na kuhusu morogoro huyu mama hujifanya ana mambo ya kuuza vinyago na ana safari nyingi moro,jamaa kaenda kupima ni kweli watoto wote si wake.sasa mimi THE ONLY nakubali MOYO WA MTU MSITU huwezi kuujua ni kumwomba mungu tu,Jamaa amekuwa mlevi sugu japo nduguze wana jitahidi kumfariji ,mwanamke kakimbia,kamwalibia maisha kaka wa watu kuanzisha familia mpya mchezo at age of 40's.

Jamani sasa sjui tunafanyeje kuepuka haya.


Siku zote huwa tunawaambia usimwamini mwanamke hata kidogo angalia sasa yaliyo mkuta.
 
Hao watoto ni wake! period!

Yaani hapo mwanamke asepe tu lakini watoto sitakaa niwaache.........................ila wakifikisha umri wa kuwa watu wazima nitaweleza ukweli wao wenyewe waamue!

Dah aisee kweli hujafa hujaumbika..............msisem hivyo; sasa kama mama alitumia kinga muda wote akiwa na mume na anategesha mimba wakati hana kinga akiwa kwa jamaa wa pembeni......................hivi Mume wa halali hawezi kuanzisha kesi hapo akadai kisheria atambulike kuwa ni baba halali na kuwadai fidia hao washenzi..................hizo 25 m ziwe kifuta machozi!

Hommie umegundua watoto sio wako unaendelea kumtunzia mwanaume mwenzio ili iweje? Unawapeleka kwa baba yao.
 
Dah kweli amemfanyia unafiki mbaya mimi nikisema nachukia mapenzi huwa mna-niimindi hapa kuna watu wana mioyo mibaya na ya kishetani balaaa unapoingia nae kwenye mahusiano/uchumba/ndoa mwisho wa siku anauacha moyo wako kwenye msala/machungu/mfadhaiko /msinyao usio na mfano.

Ingekuwa heri kama mungu angeweka kitu umpasue mtu moyoni uone kama kuna ukweli kabla hujamuweka moyoni na kussetle nae mpe pole sana mwambie anitafute
Hapo Smile umenena ushauri mzuri huyu mtu anahitaji kusaidiwa kabla mambo hayajaharibika kichwani
 
Kwanza yafaa tujiulize,hivi inawezekanaje miaka yote hiyo mwanaume anaishi na mkewe na asiweze kupata hata mtoto mmoja wakati anaishi na mkewe zaidi kuliko huyo true love?
Ukiangalia kwa undani inawezekana kabisa mwanaume huyu hana uwezo wa kuzaa na ndio sababu ya mwanamke kupata watoto kwa mwanaume mwingine,hapa naona tatizo kubwa lipo kwa wanaume wengi ambao huwa hawapendi kwenda kupima na kujua kama wana uwezo wa kuzalisha mbegu za uzazi.
Kwa kuwa yamekwishatokea kinachofuata hapo ni kumuomba Mungu tu kwani hakuna anayejua maisha waliyokuwa wanaishi kabla ya tukio hilo na hapa tuna mwisho wake tu ila mwanzo wake hatuujui.
kaka kitendo cha kumwambia mkeo mkapime huwa ni roho ngumu.
 
Mmmmmhhhhh,
Kweli MOYO WA MTU NI NYIKA,
Kwa nini? huyo mwanamke hakumzalia hata mtoto 1
huyo mwanaume?
Au mwanaume hana kizazi?????
Ndio sababu ya kumfanya mwanamke apate watoto sehemu
nyingine??.
kwakweli sometime ni ile hali yenu nyinyi dada zetu kutotaka kujitegemea kimaisha hivo kuliplace uvivu wa kushindwa kuwajibika mnajikuta mnaolewa na msiemkusudia unagundua long choice mko ndoana ndo kinachotokea.
 
Mmmmh huyu mwenzetu nae kazidi watoto wote wanne??
Mie huwa nasema Wanaume ni makatili lakini
ukikuta mwanamke katili ni katili kweli si mchezo
Sasa hapa utasemaje??
 
Hii ishu Mtambuzi inatakiwa atoe ushauri!
 
Hommie umegundua watoto sio wako unaendelea kumtunzia mwanaume mwenzio ili iweje? Unawapeleka kwa baba yao.

Hommie kuwa baba si lazima watoke kwenye mfuko wako wa uzazi; na tena utawapa msongo wa maisha ya ajabu watoto ambao hawana hatia; hili limeshatokea; Dunia itakuheshimu kwa ujasiri huu!

na ukizingatia kule home kuwa na watoto ni faida; kwanini nimpe faida mtua mabaye hastahili; kama angestahil Mungua angempa huyu mke aliyemzalisha bana!


Yeye amevizia atumie mgongo wangu!
 
Back
Top Bottom