Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
Aroooooo!! Arafu kuwa na heshima jina rangu ni The Bold sio The Bond...
Na nyinyi member wenye vihere here vya kuongea ongea... aroooo ni kweri mna uhuru wa kuongea but not to that extent... watch it...
Arafu members hamfanyi kazi mnakaa tu mna raramika ramika!! Nawaambieni unga utafika kilo shilingi elfu tano... Mnasubiri tu mpate habari mbaya mniweke foti fedi..
Mnasahau jambo ra muhimu ni kuhakikisha kwamba kira mwanaforum anapata bombadia yake!! Na katika hilo nawaahidi sitawaangusha... tunataka muendeshe bombadia huko angani ili zituletee revenyuu..
Mimi napenda kuwaambia ukweri, na msema kweri ni mpenzi wa mungu... Watu wanapost post tu kwenye mitandao... Usijali wanapost nini mshana jr wee piga kaziiiiiii... Nasema piga kaziiiii!! Unachonipa nakijua mwenyewe...
Na nyinyi member wenye vihere here vya kuongea ongea... aroooo ni kweri mna uhuru wa kuongea but not to that extent... watch it...
Arafu members hamfanyi kazi mnakaa tu mna raramika ramika!! Nawaambieni unga utafika kilo shilingi elfu tano... Mnasubiri tu mpate habari mbaya mniweke foti fedi..
Mnasahau jambo ra muhimu ni kuhakikisha kwamba kira mwanaforum anapata bombadia yake!! Na katika hilo nawaahidi sitawaangusha... tunataka muendeshe bombadia huko angani ili zituletee revenyuu..
Mimi napenda kuwaambia ukweri, na msema kweri ni mpenzi wa mungu... Watu wanapost post tu kwenye mitandao... Usijali wanapost nini mshana jr wee piga kaziiiiiii... Nasema piga kaziiiii!! Unachonipa nakijua mwenyewe...