Namshangaa sana The Bond na Mshana Jr

Namshangaa sana The Bond na Mshana Jr

Aroooooo!! Arafu kuwa na heshima jina rangu ni The Bold sio The Bond...

Na nyinyi member wenye vihere here vya kuongea ongea... aroooo ni kweri mna uhuru wa kuongea but not to that extent... watch it...

Arafu members hamfanyi kazi mnakaa tu mna raramika ramika!! Nawaambieni unga utafika kilo shilingi elfu tano... Mnasubiri tu mpate habari mbaya mniweke foti fedi..

Mnasahau jambo ra muhimu ni kuhakikisha kwamba kira mwanaforum anapata bombadia yake!! Na katika hilo nawaahidi sitawaangusha... tunataka muendeshe bombadia huko angani ili zituletee revenyuu..

Mimi napenda kuwaambia ukweri, na msema kweri ni mpenzi wa mungu... Watu wanapost post tu kwenye mitandao... Usijali wanapost nini mshana jr wee piga kaziiiiiii... Nasema piga kaziiiii!! Unachonipa nakijua mwenyewe...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
a652967a31c76b6ca8b531d716f47c8d.jpg
 
Word.!!

Big up mkuu Zero IQ

Umetumia njia maridhawa kabisa kufikisha ujumbe wako!!
Asante Mkuu Nilisoma sana Fasihi Enzi hizo nilikuwa najikumbushia kama kwenye iq zangu imebaki ata 1 ya ziada au ndio zimepelea kabisa na kubaki Zero IQ.

Nilichogundua nimebaki japo na Nusu IQ ya kunisaidia kufikisha ujumbe wangu kwako mkuu the Bold.
 
Jokes aside mtoa mada una IQ kubwa sana,tofauti na ID yako.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Asante Mkuu Nilisoma sana Fasihi Enzi hizo nilikuwa najikumbushia kama kwenye iq zangu imebaki ata 1 ya ziada au ndio zimepelea kabisa na kubaki Zero IQ.

Nilichogundua nimebaki japo na Nusu IQ ya kunisaidia kufikisha ujumbe wangu kwako mkuu the Bold.
Ina maana hata moderators hawakuona kuwa hii ni fasihi? Wameiweka hii mada kwenye jukwaa ambalo si sahihi
 
Aroooooo!! Arafu kuwa na heshima jina rangu ni The Bold sio The Bond...

Na nyinyi member wenye vihere here vya kuongea ongea... aroooo ni kweri mna uhuru wa kuongea but not to that extent... watch it...

Arafu members hamfanyi kazi mnakaa tu mna raramika ramika!! Nawaambieni unga utafika kilo shilingi elfu tano... Mnasubiri tu mpate habari mbaya mniweke foti fedi..

Mnasahau jambo ra muhimu ni kuhakikisha kwamba kira mwanaforum anapata bombadia yake!! Na katika hilo nawaahidi sitawaangusha... tunataka muendeshe bombadia huko angani ili zituletee revenyuu..

Mimi napenda kuwaambia ukweri, na msema kweri ni mpenzi wa mungu... Watu wanapost post tu kwenye mitandao... Usijali wanapost nini mshana jr wee piga kaziiiiiii... Nasema piga kaziiiii!! Unachonipa nakijua mwenyewe...
Mkuu umenifanya nicheke sana, heshima kwako
 
Aiseee hii fasihi sio ya inji hii[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Dah kwa kweli tuungane 2020 tuwaondoe humu hawa watu hawafaii katika website yetu.

Shime tuungane kuwaondoa.
 
Back
Top Bottom