Unapendekeza awe na urefu ganiLeo nimefuatilia mchezo baina ya Taifa Stars na Malawi. Kwa kweli uwezo wakipa wetu ni chini ya kiwango. Goli alilofungwa halikufaa afungwe hata kidogo. Siyo maakini anapokaa golini na changamoto kubwa yeye ni mfupi. Ni muda muafaka kocha kumtafuta mlinda mlango mwingine.
Matokeo ngapi ngapi mkuu?Leo nimefuatilia mchezo baina ya Taifa Stars na Malawi. Kwa kweli uwezo wakipa wetu ni chini ya kiwango. Goli alilofungwa halikufaa afungwe hata kidogo. Siyo maakini anapokaa golini na changamoto kubwa yeye ni mfupi. Ni muda muafaka kocha kumtafuta mlinda mlango mwingine.
Moja moja mkuuMatokeo ngapi ngapi mkuu?
Labda kocha hajamuona, yule kipa Said angalau yupo vizuri. AnafaaUko sahihi sana ! Yule Said Mohamed yuko wapi ? Uzuri Mayanga ananifahamu nikiamua ang'olewe ataondoka asubuhi tu .
Ana subiri Safari ya kwenda India kutibiwa, uongozi wa Simba kila siku wana mpiga carenda.Uko sahihi sana ! Yule Said Mohamed yuko wapi ? Uzuri Mayanga ananifahamu nikiamua ang'olewe ataondoka asubuhi tu .
Aishi Manula ni Mfupi??Leo nimefuatilia mchezo baina ya Taifa Stars na Malawi. Kwa kweli uwezo wakipa wetu ni chini ya kiwango. Goli alilofungwa halikufaa afungwe hata kidogo. Siyo maakini anapokaa golini na changamoto kubwa yeye ni mfupi. Ni muda muafaka kocha kumtafuta mlinda mlango mwingine.
Leo nimefuatilia mchezo baina ya Taifa Stars na Malawi. Kwa kweli uwezo wakipa wetu ni chini ya kiwango. Goli alilofungwa halikufaa afungwe hata kidogo. Siyo maakini anapokaa golini na changamoto kubwa yeye ni mfupi. Ni muda muafaka kocha kumtafuta mlinda mlango mwingine.
Huenda kweli Manula sio mbovu ila kiukweli ktk siku za karibuni jamaa amekosa umakini langoni! Labda kwa kuwa anasifiwa sana hasa na watu wa timu yake ya Simba na pia ameona hakuna kipa mwingine wa kumpa changamoto! Anafungwa magoli ya kipuuzi lazima asemwe ili ajirekebishe! Kumbuka mechi ya mbao wale madogo walivyo mtungua! Asipojirekebisha atapotea mapema sana!Hakuna cha ubovu wa manula,ila timu yetu ni tia maji tia maji.