Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,092
- 2,126
Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani anafanya makosa,anaishi kwa mazoea baada ya kukosa mpinzani.Huenda kweli Manula sio mbovu ila kiukweli ktk siku za karibuni jamaa amekosa umakini langoni! Labda kwa kuwa anasifiwa sana hasa na watu wa timu yake ya Simba na pia ameona hakuna kipa mwingine wa kumpa changamoto! Anafungwa magoli ya kipuuzi lazima asemwe ili ajirekebishe! Kumbuka mechi ya mbao wale madogo walivyo mtungua! Asipojirekebisha atapotea mapema sana!
HahahaTimu mbovu yote leo niliangalia mpira kwa sababu nilikua napmzika
Manula mfupi???Leo nimefuatilia mchezo baina ya Taifa Stars na Malawi. Kwa kweli uwezo wakipa wetu ni chini ya kiwango. Goli alilofungwa halikufaa afungwe hata kidogo. Siyo maakini anapokaa golini na changamoto kubwa yeye ni mfupi. Ni muda muafaka kocha kumtafuta mlinda mlango mwingine.
Mhhhh acha kutudanganya wewe, ukiamua wewe kama Nani uamue.Uko sahihi sana ! Yule Said Mohamed yuko wapi ? Uzuri Mayanga ananifahamu nikiamua ang'olewe ataondoka asubuhi tu .
Unawajua wazee wa fitna ?Mhhhh acha kutudanganya wewe, ukiamua wewe kama Nani uamue.
Leo nimefuatilia mchezo baina ya Taifa Stars na Malawi. Kwa kweli uwezo wakipa wetu ni chini ya kiwango. Goli alilofungwa halikufaa afungwe hata kidogo. Siyo maakini anapokaa golini na changamoto kubwa yeye ni mfupi. Ni muda muafaka kocha kumtafuta mlinda ungeshauri kwanza atafutwe mwalimu ,,hatuna mwalimu kabisa pale wachezaji wanacheza kila mtu kadiri anavyojua yeye...Golikipa ni kitu cha mwisha kabisa kufikiri kwenye timu nzurii.
Ni kwa kuwa yupo Simba! Alipokuwa Azam alikuwa mrefu na makini sanaMistake ya kawaida anafungwa degea na kina buffon na neur sembuse manula? C'mon man
Ameshafanyiwa operation kwa taarifa yako acha majunguAna subiri Safari ya kwenda India kutibiwa, uongozi wa Simba kila siku wana mpiga carenda.
Mkuu wewe ni golikipa?? Mwambie kocha akuteue uwe golikipa wa stars!!Leo nimefuatilia mchezo baina ya Taifa Stars na Malawi. Kwa kweli uwezo wakipa wetu ni chini ya kiwango. Goli alilofungwa halikufaa afungwe hata kidogo. Siyo maakini anapokaa golini na changamoto kubwa yeye ni mfupi. Ni muda muafaka kocha kumtafuta mlinda mlango mwingine.
Naunga mkono hojaLeo nimefuatilia mchezo baina ya Taifa Stars na Malawi. Kwa kweli uwezo wakipa wetu ni chini ya kiwango. Goli alilofungwa halikufaa afungwe hata kidogo. Siyo maakini anapokaa golini na changamoto kubwa yeye ni mfupi. Ni muda muafaka kocha kumtafuta mlinda mlango mwingine.
Hahahaha!Ameshafanyiwa operation kwa taarifa yako acha majungu