Nakwambia hakuna mwanajeshi anaejielewa atakaechukua orders za mabeyo!!!
Uzuri wa mwaka huu uchaguzi huu unaangaliwa sana na pande zote za dunia, lolote watakalofanya wajiandae kwa matokeo mazito kutoka kwa wakubwa wa dunia.
Usichukulie kiwepesi kujadilUWA kwenye bunge la marekani huku wakitoa statement kuwa yeyote atakayehusika na kukandamiza demokrasia au kuharibu uchaguzi watamwajibisha kwa matendo yake!!!
Mwaka huu ni wa maamuzi mazito. It’s now or never.
Si kweli. Hakuna Mama wala mjomba. Kuna kukanyaga haki tu, kisha waliokanyagiwa haki wakituambia umenikanyagia haki tunawasingizia kutumwa na wamama wakubwaUkimuona kifaranga kajaa chungu ujuwe kunamamayake lisu limama lake nilikubwa kama tembo sisi tutulie ukombozi umekaribia labda
Akkaidi adhabu ndio hicho kitakachofuataVipi tume ya maadili haiwezi kumfuta mazima akikaidi?
Nak
Naungana na Wewe moja kwa moja ! Mimi ni CCM . Nimuombe Sana , Sana Mheshimiwa Tundu Lissu awe mvulivu kwa muda huo wa one Week . Kwanza atakuwa amepata muda wa kutosha wa kupumzika ! Kampeni ya kuzunguka nchi nzima sio Mchezo !! Ni kazi kweli , kweli ! Na ndiyo maana hata Rais Magufuli naye amejipa muda wa kupumzika ! Awe mvumilivu Tundu Lissu .
Kusingizia mwenzako katumwa na mabeberu ni mbinu chafu ya kampeni. Kuadhibu mpinzani wako kwa kumzuia asikampeni ni mbinu chafu nyingine. Wanaofanya hivi wana jeshi kubwa ajabu la kampeni ardhini. Msijidanganye kuwa mgombea wao amechoka au anaumwa. Yuko fit. Wanataka kuwalaza usingizi wa siku saba, mkiamka boli liko wavuni. Fanyeni kampeni hata iweje. Mbona mlikuwa na usemi eti hakuna kulala hadi kieleweke? Hakijaeleweka! Fanya kampeni!Mabeberu! we unafikir watakuepo muda huoo???Ni Mimi,Dada ako,mama ako,wewe na wengine.
Hizi keyboard mnazokalia nyuma yake mnafikir muda huo mtaupata?Nataman hao matembo mnayoyanadi na kuyasema basi yaingize hicho wanachotaka ili tupate joto la machafuko mjue kutofautisha nyeupe na nyeusi.
Bora afanye kampeni na wajaribu kumzuia ili dunia ione na ikusanye vizuri ushahidi juu ya hawa wauaji na watu wenye roho mbaya
Ingawa hili tu la kumzuia kufanya kampeni kwa siku 7 ni ushahidi tosha
Ndo mnavyojidanganya hapo Lumumba??? Endeleeni tu na ujinga wenu!! Mtajua hamjui mwaka huuDunia itawafanyia nini? Kwa sasa kila mtu yupo kwenye ujisaidie mwenyewe mode........zaidi watatoa tu maneno yao yakupeana moyo ndo imekwisha hio
Mshapapaswa tayari mlichofanya ni kutoa povu tu na bado tarehe 28 mtapigwa soft touch za kutosha andaeni mabambucha hayoNdo mnavyojidanganya hapo Lumumba??? Endeleeni tu na ujinga wenu!! Mtajua hamjui mwaka huu
Mmepagawa CCM au tumepagawa Chadema????Mshapapaswa tayari mlichofanya ni kutoa povu tu na bado tarehe 28 mtapigwa soft touch za kutosha andaeni mabambucha hayo
Nani kasema?Mmepagawa CCM au tumepagawa Chadema????
Unatumia kiungo gani kufikiri???
Wewe unaonaje??? Lissu ana furaha, bashasha tele. Chadema wana raha, furaha na amani Ila CCM hawana amani, ni kutoa vitisho kwa wananchi na kuhamasisha ubaguzi tu kupitia mgombea wao Jiwe!!!Nani kasema?
Nimeona tarehe 28 Magufuli anaendelea na miaka 5 tena , kila mtu ana uhuru wa kuona apendacho maisha ni kuchaguaWewe unaonaje??? Lissu ana furaha, bashasha tele. Chadema wana raha, furaha na amani Ila CCM hawana amani, ni kutoa vitisho kwa wananchi na kuhamasisha ubaguzi tu kupitia mgombea wao Jiwe!!!
Au wewe huna akili hujaona haya?
Thubutu yenu. Labda ataendelea chatoNimeona tarehe 28 Magufuli anaendelea na miaka 5 tena , kila mtu ana uhuru wa kuona apendacho maisha ni kuchagua
Atendelea hapa na hao mabwana zenu watakuja kumpigia makofi siku anaapishwaThubutu yenu. Labda ataendelea chato
Pesa za kusomba watu na wasanii zimekataNini kinasababisha Magufuli apumzike mara kwa mara?
Lisu anampa pressure sana. Kila akiwaza kuwa anaishia miaka 5 tu anauguaNini kinasababisha Magufuli apumzike mara kwa mara?
Lisu kamatia hapohapo.Atendelea hapa na hao mabwana zenu watakuja kumpigia makofi siku anaapishwa
Tunangoja tuone nani ataingizwa kaburini tarehe 28Lisu kamatia hapohapo.
Kuna mlevi mmoja aliropoka kuwa upinzani umekufa na sasa anakufa yeye