Uchaguzi 2020 Namshauri Lissu asifanye kampeni, panakaribia kucha

Uchaguzi 2020 Namshauri Lissu asifanye kampeni, panakaribia kucha

Aanze Belarus huko.............mtegemea cha ndugu hufa masikini....keyboard warrior jipiganie mwenyewe Mmarekani hana muda na huo utopolo wenu
Nakwambiaje endelea kuamini huo ujinga unaolishwa hapo Lumumba. Utapata majibu yake very soon
 
Nakwambiaje endelea kuamini huo ujinga unaolishwa hapo Lumumba. Utapata majibu yake very soon
Hahaha mikwara yenu pelekeni kwenye vijiwe vya kahawa kwa mabolizozo wenzenu.......andaeni povu la kutosha baada ya tarehe 28
 
Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.

Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Naunga mkono hoja
 
Mabeberu! we unafikir watakuepo muda huoo???Ni Mimi,Dada ako,mama ako,wewe na wengine.

Hizi keyboard mnazokalia nyuma yake mnafikir muda huo mtaupata?Nataman hao matembo mnayoyanadi na kuyasema basi yaingize hicho wanachotaka ili tupate joto la machafuko mjue kutofautisha nyeupe na nyeusi.
Unafiri ni vyema,kuneemeka watu 50 kati 1,000,000.kwa hiy.nchi ni ya wote na sio ya wachache .unadhani hatujuani ccm ndo itakayoleta machafuko.tutakung'utana vilivyo.usenge hatutaki hata kwenye nachafuko unadhani chanzo ni nini au hujawahi kusoma historian au kufatilia.Dhuruma,uzandiki,umwinyi,kuwaona wengine mavi.sasa ndo pale unadhani ni bwege anslianzisha unabaki umeduwaa.
Unadhani wanaishi kota wote au,unadhani wanaaenda na bunduki majumbani kwao eti ,unafikilii kota zso wanakaa na siraha eti,au unafikiri wanaishi nje ya nchi.walianzishe ndo utajua vizuri.
 
Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.

Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.

Kila mtu anaona injustice inayotokea.

Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Ushauri mzuri
 
Hapo ndo patamu zaidi!! Hakuna mtanzania atakayekubali hilo. Na kabla ya uchaguzi tu Chadema watuhamasishe tuingie mtaani.
CCM HAKUNA KUCHEKA NAO. UKICHEKA NAO UNAVUNA MABUA KWELI.

MWAKA HUU LAZIMA KIELEWEKE
Real? Watanzania maneno mengi tu
 
Ndo wamewafundisho hivo huko ubeligiji wakiwa wanawapumulia
CCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii.. Yaani sisi
 
CCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii.. Yaani sisi
Tarehe 28 mnapapaswa pododo hizo nyie toeni povu tu mzungu sio Mungu mnapapaswa huku akiwacheka ihiiiiiiiiii
 
Hapo ndo patamu zaidi!! Hakuna mtanzania atakayekubali hilo. Na kabla ya uchaguzi tu Chadema watuhamasishe tuingie mtaani.
CCM HAKUNA KUCHEKA NAO. UKICHEKA NAO UNAVUNA MABUA KWELI.

MWAKA HUU LAZIMA KIELEWEKE
Unasubiria mpaka uhamsishwe,yani kama ni tembo basi apigwe dole ndo asogee? Kwani lissu anayemuhasisha kufanya siasa zenye chuki na uchochezi ni nani? Jitoe mwenyewe front line acha upunguani.
 
Unaijua vita au unaeneza propaganda zisizo na kichwa wala miguu?

Anachokifanya Lissu ni kupigania haki yake. Na kumbuka sisi watanzania ni waoge kwenye kupigania haki zetu. Tukiona mtu anasimama kidete hataki kuonewa, tunamuona ni mgomvi, ana kiburi, anataka sifa na mengine mengi ya aina hiyo.

Kama wito wake au usimamishwaji wake haunafuata sheria, ana haki ya kupigania.

Sitaki kuamini kuwa Lissu eti hajui alifanyalo
Kupigania haki yake angefanya kampeni akatangaza sera za chama chake lakini yeye kakali kumsema JPM huoni mpaka hapo hajui afanyacho. Anaabudu mahakama ya the Hague ambayo viongozi wa Afrika tu ndo hukutwa na hatia halafu bado unabisha huyu mtu sio kibaraka wa wazungu? Kama ni muoga wan kudai haki ni wewe ila binafsi tangu nikiwa shule ya msingi mpaka namaliza form 6 sijawahi kukubali adhabu ambayo sijui nimekosea nini, nilishafukuzwa shule kwa kauli ya mwalimu na barua uchwara kilichofata alilipia siku zote amabazo sijakanyaga shule kwa hiyo unaposemea suala la kudai haki najua kudai haki ni nini, sasa huyu amekalia kutukana na kutoa vitisho halafu mwisho wa siku anwaambia anapigania haki na usawa, usawa gani kama chaneli yao tu ya chadema wamezuia komenti na bado wanatanganza uhuru wa habari na kujieleza. Ukiwa mtu wa kusikia habari juu juu na kushadadia huwezi elewa, fuatilia utapata ufunuo.
 
Back
Top Bottom