Namshauri mchumba wa Sabaya aolewe mapema Sabaya amechafuka na haajiriki Tena na hataweza kumbeba na uzuri ule

Kwani wewe ni huyo mchumba na inakuhusu nini wakati ni maisha yake binafsi. Kaolewe wewe mapema kama unadhani ni rahisi
Povu kama lote!!! Wewe sabaya kufungwa kimekuuma huna wa kukutoa marinda tena !!! Kenge wewe
 
Aolewe tuuu kwan sabaya akitoka jela atakuwa amechoka hata nguvu ya kusukuma mavi itakua imeisha
 
Sasa anaajirikaje jera maana akitoka na kiinua mgongo kinamhusu
Yule Hakimu aliyetoa adhabu si mchezo kampiga Sabaya miaka 30 jela na fimbo 12 wakati anaingia na 12 wakati anatoka jela.....kha.....
ina maana juzi subaya kala stiki.....
wakati wa kuingia jela
 
Sabaya hana mke mkuu.
Jambazi sabaya Kwenye utetezi wake alisema aonewe huruma kwa sababu ana mchumba na ameshalipa mahari na tarehe ya harusi ilishapangwa.
 
Wacha watimize matakwa yao. Jiwe alitaka wasaliti wasiishi. Where is he now ?!

Yana mwisho . Kina Amin, Mobutu , Bokassa etc leo watu hawataki hata ubin wao

ni upuuzi tu na umasikini wa akili kudhani kifo ni adhabu.

mkuu ishi maisha upendayo,ila kifo ni kwa ajili ya wote.
 
Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
Wewe ni mtu mp...a..vu sana, mapenzi hayatazami ulicho sema,ila mwanamke mfanya biashara ya ngono ndiyo anaweza kutazama hayo,anaweza kumsubiri hiyo miaka 15 tu maana haifiki 30
 
Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
Sabaya bado ana mahela mengi ya kumtosha kuishi Burundi kwa miaka 20. Jamaa ana energy ya kutosha kuinvest na kufanya biashara halali na haramu kwa ukubwa wowote. He is a really problem. Naoma Mungu rufaa yake itupwe mbali japo ni wazi atashinda na kutoka
 
Wewe ni mtu mp...a..vu sana, mapenzi hayatazami ulicho sema,ila mwanamke mfanya biashara ya ngono ndiyo anaweza kutazama hayo,anaweza kumsubiri hiyo miaka 15 tu maana haifiki 30
Hawezi kumsubiri. Labda kama wangeshafunga ndoa , na pengine wawe na mtoto.
 
Jela haina mwenyewe,unaweza kufungwa kwa makosa uliyo yafanya au unaweza kufungwa kwa makosa ambayo hujayafanya.
 
Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
Naomba namba yake nimtafute ili nimpe pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…