Namshauri mchumba wa Sabaya aolewe mapema Sabaya amechafuka na haajiriki Tena na hataweza kumbeba na uzuri ule

Namshauri mchumba wa Sabaya aolewe mapema Sabaya amechafuka na haajiriki Tena na hataweza kumbeba na uzuri ule

Kwani wewe ni huyo mchumba na inakuhusu nini wakati ni maisha yake binafsi. Kaolewe wewe mapema kama unadhani ni rahisi
Povu kama lote!!! Wewe sabaya kufungwa kimekuuma huna wa kukutoa marinda tena !!! Kenge wewe
 
Sasa anaajirikaje jera maana akitoka na kiinua mgongo kinamhusu
Yule Hakimu aliyetoa adhabu si mchezo kampiga Sabaya miaka 30 jela na fimbo 12 wakati anaingia na 12 wakati anatoka jela.....kha.....
ina maana juzi subaya kala stiki.....
wakati wa kuingia jela
 
Huenda akashinda rufani na kurudi uraiani. Ila ndoa huvurugika sana tu mwanandoa mmoja anapokosekana kwa muda mrefu nafasi yake hujazwa na mwingine kwa siri au kwa uwazi, rasmi na isivyo rasmi. Huyo mama asilani hataweza kusubiri mpaka miaka 30 bila hitaji la kindoa haiwezekani labda kama ana nadhiri ya kuishi maisha ya kutofanya jambo hilo mpaka mume wake atoke jela
Sabaya hana mke mkuu.
Jambazi sabaya Kwenye utetezi wake alisema aonewe huruma kwa sababu ana mchumba na ameshalipa mahari na tarehe ya harusi ilishapangwa.
 
Wacha watimize matakwa yao. Jiwe alitaka wasaliti wasiishi. Where is he now ?!

Yana mwisho . Kina Amin, Mobutu , Bokassa etc leo watu hawataki hata ubin wao

ni upuuzi tu na umasikini wa akili kudhani kifo ni adhabu.

mkuu ishi maisha upendayo,ila kifo ni kwa ajili ya wote.
 
Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
Wewe ni mtu mp...a..vu sana, mapenzi hayatazami ulicho sema,ila mwanamke mfanya biashara ya ngono ndiyo anaweza kutazama hayo,anaweza kumsubiri hiyo miaka 15 tu maana haifiki 30
 
Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
Sabaya bado ana mahela mengi ya kumtosha kuishi Burundi kwa miaka 20. Jamaa ana energy ya kutosha kuinvest na kufanya biashara halali na haramu kwa ukubwa wowote. He is a really problem. Naoma Mungu rufaa yake itupwe mbali japo ni wazi atashinda na kutoka
 
Wewe ni mtu mp...a..vu sana, mapenzi hayatazami ulicho sema,ila mwanamke mfanya biashara ya ngono ndiyo anaweza kutazama hayo,anaweza kumsubiri hiyo miaka 15 tu maana haifiki 30
Hawezi kumsubiri. Labda kama wangeshafunga ndoa , na pengine wawe na mtoto.
 
Sipati picha first day sabaya ndio anapokelewa na wafungwa wenzake gerezani na kuanza kutumikia miaka yake 30 jela ,

At first anakutana na wale aliowabambikia kesi wkt akiwa kwenye nafasi mbali mbali za uongozi

Ikumbukwa kwamba kabla hajawa DC huyu mtu alikuwa ni m/k wa umoja wa vijana, alikuwa diwani, pia alikuwa na kitambulisho feki cha mwewe, kote huko lazima tu kuna watu aliwaumiza kwa jinsi kariba na utashi wake unavyoonekana.

Sasa wale ambao waliumia kupitia yy ndio mnakutana huko hali inakuaje?

Funzo: tunapokuwa na nafasi aidha ya madaraka au fedha, tujaribu kuwaza na kesho yetu, haya maisha tunaishi tu lkn hatujui kitu gani kitatokea dk 10 zijazo.

Yupo mmoja aliwahi kutamka kwamba yy ni raia anaye kula raha kuliko mtanzania yoyote hapa nchini, aliesema hayo kipindi akiwa na madaraka ya kulevya.

Lkn sasa inasemekana anaishi kama digidigi haonekani mtaani, mda wowote anaingia nyavuni, kama siyo system basi wale aliowatendea ndivyo sivyo, hana amani tena ,

Tuishi vizuri kwenye ardhi hii sote ni wapitaji tu.
Jela haina mwenyewe,unaweza kufungwa kwa makosa uliyo yafanya au unaweza kufungwa kwa makosa ambayo hujayafanya.
 
Kifupi sabaya ni zero empty na hakuna future Wala connection kuwa Nate. Yule mwanamama wake ni mlimbwende na bado Ana ndoto na maono makubwa aachane na sabaya ; sabaya ameshafeli maisha ni zero set aachane nae aolewe na mwanaume mwenye future.
Naomba namba yake nimtafute ili nimpe pole
 
Back
Top Bottom