Uchaguzi 2020 Namshauri Tundu Lissu apeleke mashtaka NEC dhidi ya Magufuli kwa kampeni za kibaguzi

Uchaguzi 2020 Namshauri Tundu Lissu apeleke mashtaka NEC dhidi ya Magufuli kwa kampeni za kibaguzi

Chapa Nalo Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
7,518
Reaction score
6,506
Katiba yetu na sheria zetu zinatambua uwepo wa vyama vingi. Hivyo mgombea urais anayesema nikipata urais sitapeleka maendeleo kwenye majimbo yaliyo chagua wabunge au madiwani wasio wa chama chake, ni uvinjivu wa sheria na tusi kwa katiba yetu.

Hivyo napendeleza CHADEMA au Lissu kipindi hiki wamekufungia fanya jambo. Tafuta ushahidi wa ukiukaji wa maadili wa Pombe, peleka NEC. Potelea pote kama NEC itatupilia shitaka lako kama walivyofanya mwanzo wakati wa uteuzi, lakini watanzania na dunia itakuwa imepata kitu fulani kuielewa hii NEC kwa hicho wanasema eti ipo huru!!
 
Tundu Lissu anaendesha kampeni kama mgombea binafsi. Hashauriani na chama chake. Matokeo yake anatangaza maamuzi yanayopingana na Kamati Kuu ya chama chake!
 
Katiba yetu na sheria zetu zinatambua uwepo wa vyama vingi. Hivyo mgombea urais anayesema nikipata urais sitapeleka maendeleo kwenye majimbo yaliyo chagua wabunge au madiwani wasio wa chama chake, ni uvinjivu wa sheria na tusi kwa katiba yetu.

Hivyo napendeleza Chadema au Lissu kipindi hiki wamekufungia fanya jambo. Tafuta ushahidi wa ukiukaji wa maadili wa Pombe, peleka NEC. Potelea pote kama NEC itatupilia shitaka lako kama walivyofanya mwanzo wakati wa uteuzi, lakini watanzania na dunia itakuwa imepata kitu fulani kuielewa hii NEC kwa hicho wanasema eti ipo huru!!
Malalamiko zaidi ya matatu yameshapelekwa na hakuna hatua zikizo chukuliwa
 
Mahera hayuko huru kihivyo...ni kada anayelinda maslahi
 
Katiba yetu na sheria zetu zinatambua uwepo wa vyama vingi. Hivyo mgombea urais anayesema nikipata urais sitapeleka maendeleo kwenye majimbo yaliyo chagua wabunge au madiwani wasio wa chama chake, ni uvinjivu wa sheria na tusi kwa katiba yetu.

Hivyo napendeleza Chadema au Lissu kipindi hiki wamekufungia fanya jambo. Tafuta ushahidi wa ukiukaji wa maadili wa Pombe, peleka NEC. Potelea pote kama NEC itatupilia shitaka lako kama walivyofanya mwanzo wakati wa uteuzi, lakini watanzania na dunia itakuwa imepata kitu fulani kuielewa hii NEC kwa hicho wanasema eti ipo huru!!
Mnyika alishaandika barua tatu,lakini zote NEC wamezikalia kimya
Wanataka wajekutolea ufafanuzi 26/10/2020.

Hata Mimi binafsi nimeandika barua nikatuma kwa njia ya email.
 
Lisu amesema wameandika malalamiko nec lakin nec ya upinzani hawayafanyii kazi. Wanafanyia kazi ya ccm tu
 
Hata pole pole aliwahi kumtukana Lissu adharani kuwa hayupo sawa kichwani. Yeye siyo daktari, anaweza kudhibitisha
 
Alishapeleka ila NEC ni CCM na CCM ni NEC!
JamiiForums2000245234.jpg
 
Hakika, CCM haijitoka madarakani kwa sanduku kura. La sivyo itatawala bila ridhaa ya watanzania mpaka kiama.

Asante Lissu kwa hii amsha amsha. We need more persons like Lissu kuliondoa hili sheitwani ccm.

Hii hasira niliyo nayo kwa NEC na CCM imefika top level
 
Back
Top Bottom