Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Niko tayari kutoa pesa taslimu ili kumng'oa Malinzi.JAMAL MALINZI ni tatizo soka la nchi yetu limeporomoka kabisa.
Tulikuwa wa 81 wakati wa Tenga hivi sasa tunashika namba 155 kiubora duniani.
Huyu bwana yupo yupo tu hajui anachofanya. Ngumi zilmshinda, pale Yanga alivuruga.TFF timu ya taifa imekosa mvuto inafungwa kila siku,wadhamini wanapungua. Aondoke tu pale.
Ni lugha tu mjomba .Katimuliwa au kaacha
Mkuu kazini hukwenda wiki nzima. Kichapo kile aibuIle aibu haivumiliki , kwa uzalendo nilionao sikutoka nje wiki !
Ningechagua kocha bora , na nisingetumia kigezo cha kujuana .Mkuu mtoa uzi, ungekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi ya kuchagua kocha mpya wa stars ungemchagua nani awe kocha mkuu.
Mwaka wa pili huu umeshindwa kumondoa Aveva pale mchanganiNiko tayari kutoa pesa taslimu ili kumng'oa Malinzi.
Mbona kishakalishwa kibra mkuu !Mwaka wa pili huu umeshindwa kumondoa Aveva pale mchangani
Kama sisi watanzania tusio kua na misingi mizuri ya soka,,tunalia hivi,je na Brazil wenye kila kitu wao wanalia vipi kwa kupigwa 7_1Ile aibu haivumiliki , kwa uzalendo nilionao sikutoka nje wiki !
Wote ukiwa kocha mwenye weledi ukifungwa 7-0 lazima ujiuzuluMkuu wakulaumiwa nani hapo TFF au KOCHA
Mpiga diliJAMAL MALINZI ni tatizo soka la nchi yetu limeporomoka kabisa.
Tulikuwa wa 81 wakati wa Tenga hivi sasa tunashika namba 155 kiubora duniani.
Huyu bwana yupo yupo tu hajui anachofanya. Ngumi zilmshinda, pale Yanga alivuruga.TFF timu ya taifa imekosa mvuto inafungwa kila siku,wadhamini wanapungua. Aondoke tu pale.