Namshukuru kila aliyewezesha kutimuliwa kwa Mkwassa Stars

Namshukuru kila aliyewezesha kutimuliwa kwa Mkwassa Stars

JAMAL MALINZI ni tatizo soka la nchi yetu limeporomoka kabisa.
Tulikuwa wa 81 wakati wa Tenga hivi sasa tunashika namba 155 kiubora duniani.

Huyu bwana yupo yupo tu hajui anachofanya. Ngumi zilmshinda, pale Yanga alivuruga.TFF timu ya taifa imekosa mvuto inafungwa kila siku,wadhamini wanapungua. Aondoke tu pale.
Niko tayari kutoa pesa taslimu ili kumng'oa Malinzi.
 
Mkuu mtoa uzi, ungekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi ya kuchagua kocha mpya wa stars ungemchagua nani awe kocha mkuu.
 
Mkuu mtoa uzi, ungekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi ya kuchagua kocha mpya wa stars ungemchagua nani awe kocha mkuu.
Ningechagua kocha bora , na nisingetumia kigezo cha kujuana .
 
Wadau naona tunatafuta mchawi bure...
Narudia je maandalizi kuanzia chini kwa kiwango cha kimataifa tunacho?Program za watoto zipo?na kama zipo chache vyombo husika vinawajibika?japo kuvitembelea?
Huko tunako angalia luninga na kushabikia timu za nje,kila mchezaji ana historia kuanzia chini,iwe academy au soccer school.Hatuja chelewa timu zetu kuwa bora,kwa maoni yangu ligi ya ndani ni tofauti na tunapokuwa katika michezo ya nje.Upeo wetu wa mpira kwa wachezaji upo chini.
Walimu tunao wazuri,je ni wa developing programs football?
Natoa hoja.
 
Ile aibu haivumiliki , kwa uzalendo nilionao sikutoka nje wiki !
Kama sisi watanzania tusio kua na misingi mizuri ya soka,,tunalia hivi,je na Brazil wenye kila kitu wao wanalia vipi kwa kupigwa 7_1
 
JAMAL MALINZI ni tatizo soka la nchi yetu limeporomoka kabisa.
Tulikuwa wa 81 wakati wa Tenga hivi sasa tunashika namba 155 kiubora duniani.

Huyu bwana yupo yupo tu hajui anachofanya. Ngumi zilmshinda, pale Yanga alivuruga.TFF timu ya taifa imekosa mvuto inafungwa kila siku,wadhamini wanapungua. Aondoke tu pale.
Mpiga dili
 
Back
Top Bottom